Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 46,334
- 37,918
- Thread starter
- #241
waTanzania wanasonga mbele na Tanzania yao, hao wengine sijui wako wangapi waendelee kupambana na hicho ambacho wengi tumekiona kwenye vitabu tu, hiyo spirit ya kupambania kitu ambacho hukijua hata kinafananaje naona ni hopeless 🐒Kuhusu Mali za Tanganyika imekaaje???
nadhani waTanzania wanaompenda na kumkubali Dr Samia Suluhu Hassan wanakwenda kuenjoy mipango yake humu humu Tanzania na sio kwingineko 🐒