kitu chenyewe kinacho fanya hawapatani hukijui una kazaniatu hawapatani weka wazi tukuelewesheUsipende ubishi wa kijinga sunni na shia hawapatani kabisa hilo liko wazi na kila mtu anajua
kitu chenyewe kinacho fanya hawapatani hukijui una kazaniatu hawapatani weka wazi tukuelewesheUsipende ubishi wa kijinga sunni na shia hawapatani kabisa hilo liko wazi na kila mtu anajua
Kwamba??Waislamu kwanin huwa mnajazba sana hivi huyo mungu wenu huwa anafanya nin
Sasa kama ipo si uiweke ? Hakuna chain yoyote mliyoiandika juu ya uandishi wa vitabu vyenu.Kama hakuna basi we endelea kuamin hakuna lakin ipo kwanin tuchoshane umeshatumiwa chain Mara Zaid ya moja unataka Tena utumiwe punguza kukariri hayo majuzuu
Kamshtaki kwa Mungu wako Allah atamshughulikia
Naposema kichwa mchunga ujue ni haki yenu. Onyesha wapi alicopy ? Mtu ambaye alikuwa hajui kusoma wala kuandika.
Hivyo vitu vilikuwepo wapi mpaka akavicopy ?
We jamaa bhana[emoji23], una umri gani mkuu?Unakubali kuwa Muhammad alikuwa hajui kusoma Wala kuandikwa[emoji4]
Kwa kiswahili mtu asiyejua kusoma Wala kuandikwa ni mbumbumbu. Mtu huyu hawezi kuwa na uwezo wa kushika mambo makubwa hata kidogo
Unajua maana ya plagiarism? Kuna maandiko yalikuwepo aje mtu na maandiko yanayofanana na Yale yaliyokuwepo ndio maana ya plagiarism. Hata waarabu scholars wanakubali Biblia ilianza. Ila wabongo kwa ubishi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe endelea kuamin unachoamin na mim niendelee kuamin nachoamin tusichoshane Kuna mambo mengi ya kufanya kuliko kupoteza mda kukuelewesha jambo hilo hilo Mara kumi kumiSasa kama ipo si uiweke ? Hakuna chain yoyote mliyoiandika juu ya uandishi wa vitabu vyenu.
Chain mliyo jaribu kuiweka ni Ile ya ukoo wa Yesu na yenyewe mmeshindwa kuitolea maelezo.
Sasa kama ipo si uiweke ? Hakuna chain yoyote mliyoiandika juu ya uandishi wa vitabu vyenu.
Chain mliyo jaribu kuiweka ni Ile ya ukoo wa Yesu na yenyewe mmeshindwa kuitolea maelezo.
Una umri gani mkuu?Kamshtaki kwa Mungu wako Allah atamshughulikia
Wa baba yako
Almost 32 why?
Sawa inawezekana upo sahihi sikupingi hata huko uarabuni wako ila hawalazimishi mtu mwingine awe shoga au kuonyesha hadharani kama wanavyofanya wakristo waarabu na sehemu zote ulizozitaja wanafanya kwa starehe zao sasa nyinyi mna support na kulazimisha watu waoane ndo wapewe msaada na wengine wanafungisha kanisani we unaona lipo sawa hilo kemeeni hata kidogo basi muokoe kizazi kijacho sio hii vita mnawaachia waislamu peke yao kwenye league pale uingereza ma team captain wanavaa vitambaa vya unahodha vinavyosapoti ushoga hayo mambo hakuna nchi za kiarabu abadan yesu ndo aliwaambia hvyo?Ukienda Zanzibar, Mombasa, ukanda wote huu wa pwani mashoga kibao japokua waislamu ni 90% shida ni nin
Ndo maana, poa mkuu all the best kwenye miangaiko yako ya Kila sikuAlmost 32 why?
Kwa nini uliuliza?Ndo maana, poa mkuu all the best kwenye miangaiko yako ya Kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Mim mbona mkristo na sijawah lazimishwa kuwa shoga, unajua unaongea pumba sana Tanzania hakuna mtu aliyelazimishwa kuwa shoga ndo nimesikia kwakoSawa inawezekana upo sahihi sikupingi hata huko uarabuni wako ila hawalazimishi mtu mwingine awe shoga au kuonyesha hadharani kama wanavyofanya wakristo waarabu na sehemu zote ulizozitaja wanafanya kwa starehe zao sasa nyinyi mna support na kulazimisha watu waoane ndo wapewe msaada na wengine wanafungisha kanisani we unaona lipo sawa hilo kemeeni hata kidogo basi muokoe kizazi kijacho sio hii vita mnawaachia waislamu peke yao kwenye league pale uingereza ma team captain wanavaa vitambaa vya unahodha vinavyosapoti ushoga hayo mambo hakuna nchi za kiarabu abadan yesu ndo aliwaambia hvyo?
Mim mbona mkristo na sijawah lazimishwa kuwa shoga, unajua unaongea pumba sana Tanzania hakuna mtu aliyelazimishwa kuwa shoga ndo nimesikia kwako
Hata ukienda marekani au inchi yeyote dunian hakuna inchi inayolazimisha watu kuwa mashoga yaani ndo nasikia kwako kwamba Kuna watu wanalazimishwa kuwa mashoga
Nenda Zanzibar Kuna mashehe kibao wamewalawiti watoto wa madrasa huwez sema uislamu ndo umewatuma sio kweli, same kwa mapadre huwez sema kanisa limewatuma hizo ni tabia zoo, unavyosema watu wanalazimishwa kuwa mashoga ndo nasikia kkwak
Kaongea ujinga mtupuMwambie dini inafuata maandiko je maandiko yanaruhusu ushoga?
Ushoga ni tabia ya mtu
Mimi naamini mtu akiishiwa hoja analeta kashfa
Acha uzushi ,hiyo sio maana ya KanisaKanisa ni Nyumba ya Ibada ya Wakristo. Wakristo siyo wafuasi wa Yesu, wafuasi wa Yesu waliitwa Nasara. Ila nyinyi ni wafuasi wa Paulo na ndiyo mnatumia makanisa kuabudia.
MSHINDI NI YESU KRISTOHuu mtanange haujawahi kupata mshindi