Muccigang
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 1,314
- 1,941
Kakaa manabii waliopewa vitabu ni wanne.zaburi ya daudi,taurati ya Musa,INJILI YA YESU.NA QURAN YA MUHAMMAD.ninyi biblia mmeitoa wapi?na biblia ilikuja baaada ya yesu kuondoka.lakini Quran Muhammad alipewa mwenyewe kuanzia aya ya 1 mpaka ya mwisho.na baada ya kukamilika ikapigwa lock .HAKUNA aya kuingia Wala kutoka katika Quran.
Mimi zaman nlikua muislam vzr tu ila ukisoma historia za bible zote zinekuja kutokea kwenye quran na hao watu unao sema ww wameandika bible akat yesu hayupo soma kitab cha muda mrefu zaid dunian pia quran imecopi utamadun wa uislam za zaman zaid ambao upo iran baadh ya story muhammad alizo zitoa kwenye uislam huo wa zaman n njia nyembamba sku ya kiama nyingine alicopy suala la mungu mmoja