Unabii wa ajabu uliotimia bila shaka

Unabii wa ajabu uliotimia bila shaka

Kakaa manabii waliopewa vitabu ni wanne.zaburi ya daudi,taurati ya Musa,INJILI YA YESU.NA QURAN YA MUHAMMAD.ninyi biblia mmeitoa wapi?na biblia ilikuja baaada ya yesu kuondoka.lakini Quran Muhammad alipewa mwenyewe kuanzia aya ya 1 mpaka ya mwisho.na baada ya kukamilika ikapigwa lock .HAKUNA aya kuingia Wala kutoka katika Quran.

[emoji23] [emoji23] brother jitahid kutafiti kwa kusoma soma kabla hujakomalia kitu elewa maana ya kitu unacho bisha
 
Kama una aya inasema yesu aliingia kanisani lete niritad
Na kama kuna aya kwenye quran ama popote muhammad alitahiriwa weka hapa nitasilimu. Njemba alikuwa hodari kuiga kila kitu kutoka kwa wayahudi lakini aliogopa kuiga kutahiriwa kwasababu ya kitu chenye ncha kali.

Alikuwa govi.

period!
 
Kamwe huwez pinga ukweli wewe endelea kujifariji, Mohammed mwenyewe anakubali kipindi chake kulikua na wakristo na wayahudi nawalikua wanatumia biblia, Sasa wewe muislamu wa buza unabishana naye
Hii si hoja sababu, hoja ni je Biblia ilikuwepo na mniambie Biblia ya kwanza iliandikwa lini ?
 
Kama ni hivyo, mbona Yesu alisoma kitabu Cha Isaya ambacho kimo ndani ya Biblia akiwa sinagogi, alisoma Isaya 61:1? Kama vitabu vya Biblia havikuwepo kabla ya Yesu, references ambazo Yesu alikuwa anazitoa zilitoka wapi?
Usiongee Kwa mihemko

mkuu hawa watu tunashindwa kuwaelewesha ni kwa sababu kuna nyakati sisi wenyewe hatuelewi Yesu hakuwahi kuiona Biblia Yesu hakuwahi kuwa mkristo ila yeye ni Kristo kwanini Yesu hakuwahi iona biblia ni kwamba nyakati za Yesu vitabu vyote vilikuwa yaani ni kama leo shule ya msingi kuna masoma 7 na kila somo linakitabu chake lakini baadae lije wazo la vitabu hivyo kuviunganisha kionekane kwa nje ni kitabu kikubwa kimoja ambacho kwa mkusanyiko huo ndio kiitwe biblia lakini ndani vipo vitabu tofauti vyenye majina tofauti mfano kitabu cha Isaya na vingine vingi hivyo Yesu hakuikuta biblia dunian sababu ilikuwa bado haija undwa lakini vitabu vilivyo ndani ukiondoa injiri alivikuta vikiwa kimoja kimoja waislam wengi mambo haya yanawachanaganya sana na bahati mbaya hawataki kujifunza chochote nje ya walio elezwa na mashekhe au wazazi wao
 
Taurati ya Muda,Zaburi ya Daudi,na Injili ya Yesu hivi ni vitabu vyenye asili moja ya Uyahudi na mtiririko wake ni mmoja hata wahusika Wana Nasaba Moja.
Hiyo Quran hapo huwa watu wanainasibisha kivipi watu waache kuwa wapumbavu na kujipendekeza Quran ni copycat ya biblia Ina mambo mengi fabricated na Wala haina asili ya Uyahudi Wala haina Nasaba na Biblia Muhammad alipewa na Jinn mkuu akidai ni malaika.Na hata sifa alizoeleza za huyo malaika hazifanani na sifa za malaika wanaotajwa kwenye vitabu vya wayahudi.
Wayahudi ni wayahudi tu.Wakristu ni Wakristu tu.Waislamu ni waislamu tu.
Hakuna mafungamano ya haina yoyote hapo.Ni Imani tofauti Kabisa hizo.
Nimemuuliza mjingamimi naona anapiga chenga. Anioneshe ni wapi ama ayagani au popote pameandikwa au kuoneshwa the doom prophet Muhammad ametahiriwa. Na akinionesha nasilimu. Yani jamaa limeiga kila kitu kwa wayahudi na kufabricate alishindwa kuiga hata kutahiriwa? Alikuwaanaoga nini ama kitu chenye ncha kali? Alimbaka Aisha miaka sita na govi lake.

Pathetic
 
Nimekuuliza swali la msingi Biblia ya kwanza imeandikwa lini ? Au hamna historian ya kuandikwa kwa Biblia ?

Nyinyi si ndiyo mnasema Biblia ni mkusanyiko wa Vitabu kadhaa ? Sasa utuambie huu mkusanyiko ulikusanywa lini kwa mara ya kwanza ? Sasa usiwe kichwa mchunga kiasi hiki.

Waislamu gani ambao wanakubali ya kuwa Biblia ilikuwepo kabla ya Qur'aan ? Hakuna Muislamu huyo katika mgongo huu wa Ardhi.
Hata ukiambiwa utabisha wewe endelea kukariri juzuu
Hii si hoja sababu, hoja ni je Biblia ilikuwepo na mniambie Biblia ya kwanza iliandikwa lini ?
Hatakuambii iliandikwa lini kwani ni lazima
 
Hata ukiambiwa utabisha wewe endelea kukariri juzuu

Hatakuambii iliandikwa lini kwani ni lazima
Siyo hamniambii shida inajulikana, hapa nawaonyesha ni kwa namna gani mlivyo vichwa mchunga.
 
Siyo hamniambii shida inajulikana, hapa nawaonyesha ni kwa namna gani mlivyo vichwa mchunga.
We ndo kichwa mchungwa mtu anacopy kitu kilichopo alafu anasema kashushiwa ndo maana wayahudi walimuambia tutolee ujinga wako hapa
 
Uislam ulikuja miaka 600 baada ya Ukristu. Ila waislam kuwa na historia ha kiuahidi sishangai kwa sababu Abraham alimzaa Isaka na Ishmael. Kwa hiyo Hawa ndugu ni sehemu ya familia moja siwezi shangaa wakiwa na tamaduni Moja. .

Ila sasa Quran ilitoka kichwani kwa Muhammad lakini Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoandikwa na kuhifadhia kabla ya Quran. Huu ukweli haupingiki. Pia Kuna vitabu kama au maandiko ambayo yaliandikwa na wengine ambayo yapo kwenye Biblia. .

Allah kupitia Muhammad: maana yake hizi historia zimeshushwa Kwa Muhammad kupitia malaika

On other side, historia ya Biblia iliandikwa kupitia matukio maalumu ambayo yakiwatokea wayahudi. Ukweli huu sio wa kubeza Wala kupingwa kwa sababu hata hiyo Quran Ina vitu ambavyo vilianza kuomekana kwenye Biblia. Kwa hiyo tukiita Bible uongo maana hata Quran haiwezi kuwa kweli. Kwa sababu inapata kibali kutoka kwa Biblia. .

Kama waislam wanaita Bible uongo ambayo Ina Torati, Zaburi na Injili ambazo ni matukio yaliyotekodiwa wakati yanatokea na waandishi. Basi Quran ni uwongo pia. Quran imeletwa n mtu mmoja tu ambaye ni Muhammad
Ila Biblia imeletwa na waandishi wengi ambao Kila mmoja ameandika kwa matukio aliyoyakuta. Biblia ilikuwepo kwa miaka mingi hata kabla ya Ukristu. Maandishi hay ya Biblia yapo miaka mingi na yameishi. Quran imekuta haya maandishi, alafu inataka kuyapinga😂😂😂
hakuna kitabu mungu ana kitambua kinautwa bibilia.
 
Kitabu Cha Quran kina mambo mengi ambayo yalianz kuandikwa kwenye Biblia hata mkijitia hamjui ukweli utabaki kuwa ukweli siku zote. .
bibilia nikitabu kilicho fanyiwa modifcation ambacho hatamimi naweza kukiandika nawajinga wakakiamini kua nimaneno ya mungu. kitabu cha waislam huwezi kuongeza wala kupunguza hata neno moja.
 
Taurati na kitabu Cha Isaya ni vitabu viwili tofauti, Taurati ni maneno aliyopewa Musa na Mungu Kwa Wana wa Israeli, ila kitabu Cha Isaya ni kitabu Cha unabii ambacho kinaelezea unabii wa Isaya mwana wa Amozi Kwa Wana wa Yuda na Israeli.
Utajisimbua wenzako maandiko wanakariri kwa kufumba macho na kuimba kwa viboko hivyo hamtaelewana
 
bibilia nikitabu kilicho fanyiwa modifcation ambacho hatamimi naweza kukiandika nawajinga wakakiamini kua nimaneno ya mungu. kitabu cha waislam huwezi kuongeza wala kupunguza hata neno moja.
Hoja yako ya kitoto sana Haina mashiko. Ila vitabu vya taurati ambavyo vilianza kuwa kwenye Judaism, ikafata Biblia na mwisho vikaja nukuliwa na Quran. Sasa nikulize ukiandika wewe?

Mpaka Muhammad alivyonukuuu mbona tayari vilikuw vimerekodiwa kwenyw ancient tablets. .
 
Back
Top Bottom