Biblia haina Taurati Bali Ina kumbukumbu la Taurati, kadhalika haina Zaburi matini aliyopewa Daudi.Sasa kama taurat na zaburi kwenye bible zmeandikwa mwaka gan na kwenye quran mwaka gan tukukamate
Ndiyo maana nasema hivi Biblia imeikuta Qur'aan.
Vitabu ambavyo vimeitangulia Qur'aan ni Msahafu wa Ibrahim, Taurati ya Musa, Zaburi ya Daudi na Injili ya Yesu, na mpaka Mtume anatimilizwa hapakuwa na matini kama ilivyo ya vitabu hivyo yaani hapakuwa na vitabu hivyo zaidi ya mabaki ya kumbukumbu tu juu ya habari za vitabu hivyo.
Ndiyo maana mpaka Leo waandishi wa vitabu vyenu hawajulikani.