fitonenendefu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2022
- 428
- 884
Biblia haijawahi kuandikwa na Biblia maana yake ni mkusanyiko wa vitabu vingi.
Qurani imevikuta hivyo vitabu vimeshakusanywa pamoja na kuitwa kitabu Cha Biblia.
Biblia haifanani na Qurani ila Qurani imejifananisha na Biblia imedokoa baadhi ya mambo ya biblia na kuyaweka kwenye Qurani.
Qurani imevikuta hivyo vitabu vimeshakusanywa pamoja na kuitwa kitabu Cha Biblia.
Biblia haifanani na Qurani ila Qurani imejifananisha na Biblia imedokoa baadhi ya mambo ya biblia na kuyaweka kwenye Qurani.