Unabii: Mkiyaona haya, basi inueni vichwa na kumtukuza Mungu

Unabii: Mkiyaona haya, basi inueni vichwa na kumtukuza Mungu

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,266
Reaction score
14,270
Wana wa Mungu wana wataifa teule la Tanzania na wana wataifa la babu zenu Tanganyika haya ndio yata tukia ktk siku zijazo na kama mkiyaona basi inuweni vichwa juu na kumtukuza Mungu.
1. Patakuwa na ukimya mzito haujawahi tokea tangu kuwepo kwa Taifa
2. Kwa wale mpo miji mikuu mtasikia sauti za ving'ora usiku wa manane ving'ora vitakuwa vingi sana
3. Mitandao ya kijamii ilio fungiwa itafunguliwa pasipo taarifa
4.Walio fungwa na kuwekwa vizuwizini kwa sababu ya siasa kuachiwa
4. Wazee wenye heshima kuongea ktk mkutano mzito sanautakao kuwa live.

Basi mjuwe Mungu wenu amewakumbuka ktk sala na maombi yenu. Amen
 
Wana wa Mungu wana wataifa teule la Tanzania na wana wataifa la babu zenu Tanganyika haya ndio yata tukia ktk siku zijazo na kama mkiyaona basi inuweni vichwa juu na kumtukuza Mungu.
1. Patakuwa na ukimya mzito haujawahi tokea tangu kuwepo kwa Taifa
2. Kwa wale mpo miji mikuu mtasikia sauti za ving'ora usiku wa manane ving'ora vitakuwa vingi sana
3. Mitandao ya kijamii ilio fungiwa itafunguliwa pasipo taarifa
4.Walio fungwa na kuwekwa vizuwizini kwa sababu ya siasa kuachiwa
4. Wazee wenye heshima kuongea ktk mkutano mzito sanautakao kuwa live.

Basi mjuwe Mungu wenu amewakumbuka ktk sala na maombi yenu. Amen
Kwamba Huu ni utabiri🤔
 
Wana wa Mungu wana wataifa teule la Tanzania na wana wataifa la babu zenu Tanganyika haya ndio yata tukia ktk siku zijazo na kama mkiyaona basi inuweni vichwa juu na kumtukuza Mungu.
1. Patakuwa na ukimya mzito haujawahi tokea tangu kuwepo kwa Taifa
2. Kwa wale mpo miji mikuu mtasikia sauti za ving'ora usiku wa manane ving'ora vitakuwa vingi sana
3. Mitandao ya kijamii ilio fungiwa itafunguliwa pasipo taarifa
4.Walio fungwa na kuwekwa vizuwizini kwa sababu ya siasa kuachiwa
4. Wazee wenye heshima kuongea ktk mkutano mzito sanautakao kuwa live.

Basi mjuwe Mungu wenu amewakumbuka ktk sala na maombi yenu. Amen
Na iwe Hivyo- AMEN
 
Kikwete akifariki CCM itaendesha mambo kidemokrasia?
Mimi sijaona uchaguzi huru na wa haki tangu 1995. Mwaka huu Dar ilikwenda kwa wapinzani. Saa moja baada ya kutangazwa kwamba uchaguzi umekwenda vizuri Mwenyekiti wa Tume alirudi akafuta uchaguzi wa Dar. Jecha si wa mwanzo kufuta uchaguzi.
 
Back
Top Bottom