Mcanada
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 982
- 1,904
Habari wadau wa jukwaa kubwa la JF, Nikiwa katika harakati zangu za kujiandaa na krismasi hapa canada nimejikuta nikisisimka na mwenendo wa mechi za kombe la dunia na baada ya kujiridhisha na hesabu zangu za kimwili pamoja na kupima ulimwengu wa roho nimejiridhisha pasi na shaka kwamba hili kombe la dunia kwa mara ya kwanza litaenda Afrika na timu itakayochukua kombe ni Morocco.
Naomba niwakumbushe kuwa kwa wiki kadhaa zilizopita niliwahi andika hapa kwamba katika ulimwengu wa roho nimeona kuna timu inavaa jezi nyekundu ndio itakayobeba kombe hili japo sikuandika mengi kwenye body section ndio maana mods waliufuta ule uzi (nahisi waliona ni uzi wa mzaha) na sasa narudia tena kuwaambia kuwa pamoja na timu ya Morocco kuwa kwenye form nzuri kwenye ufundi wa kimpira lakini pia kwenye ulimwengu wa roho naiona Morocco ndiyo itaingia fainali na mechi ya fainali Morocco hiyo hiyo ndio itakayochukua kombe la dunia kwa mara ya kwanza kutoka Afrika.
Mimi siwapendi waarabu kwasababu ya itikadi zao za kipumbavu (ikiwemo ubaguzi na udini) lakini katika hili kombe la dunia nawasapoti kwasababu ya uafrika wao geographically japo wanaishi kwenye itikadi za kiarabu. Bwana Yesu asifiwe!, As-Salaam-Alaikum
Naomba niwakumbushe kuwa kwa wiki kadhaa zilizopita niliwahi andika hapa kwamba katika ulimwengu wa roho nimeona kuna timu inavaa jezi nyekundu ndio itakayobeba kombe hili japo sikuandika mengi kwenye body section ndio maana mods waliufuta ule uzi (nahisi waliona ni uzi wa mzaha) na sasa narudia tena kuwaambia kuwa pamoja na timu ya Morocco kuwa kwenye form nzuri kwenye ufundi wa kimpira lakini pia kwenye ulimwengu wa roho naiona Morocco ndiyo itaingia fainali na mechi ya fainali Morocco hiyo hiyo ndio itakayochukua kombe la dunia kwa mara ya kwanza kutoka Afrika.
Mimi siwapendi waarabu kwasababu ya itikadi zao za kipumbavu (ikiwemo ubaguzi na udini) lakini katika hili kombe la dunia nawasapoti kwasababu ya uafrika wao geographically japo wanaishi kwenye itikadi za kiarabu. Bwana Yesu asifiwe!, As-Salaam-Alaikum