_aysher
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,131
- 943
Na inavyo onyesha mumewe kachepuka na mke wa mtu.Jibu la haraka, hapo Moniccaaa, mumewe amechepuka sasa anatuletea dongo. Hey, dont judge all men because mumeo ameenda kumvua mwanamke mwingine. By the way, makosa mnasababisha ninyi wenyewe. Ungemtunza mumeo asingechepuka