Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

mke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...

kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!

mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
Mume wa mtu anaanzaje kumvua mwanamke mwingine nguo..

Kumtongoza kumuomba namba ya cm mpaka kumuingiza gest....!?

Hapa wote ni wachafu na washenzii.. [emoji57] [emoji57]
 
maana naona wanahis kaz ya kumvua nguo ni nyepesi enheee?
Huyo mke wa mtu anayevuliwa nguo, kiukweli kabisa ni yeye mwenyewe kataka kuvuliwa.... Yeye mwenyewe kwa hiari yake.

Na ukiona mke wa mtu kakuvulia nguo, ujue wewe si wa kwanza na hautakuwa wa mwisho.

Si kila mwanamke ni wa kuoa. (Hili ntaliweka kwenye dibaji ya waraka wetu)
 
Huyo mke wa mtu anayevuliwa nguo, kiukweli kabisa ni yeye mwenyewe kataka kuvuliwa.... Yeye mwenyewe kwa hiari yake.

Na ukiona mke wa mtu kakuvulia nguo, ujue wewe si wa kwanza na hautakuwa wa mwisho.

Si kila mwanamke ni wa kuoa. (Hili ntaliweka kwenye dibaji ya waraka wetu)
usiweke kwenye dibaji hii tutaweka kwenye hitimisho vita itakua kubwa sana wakianza na hilo.

tatzo wanaona kama kuvuliwa nguo mke wa mtu tatzo ni mwanaume, mwanamke hawez kuvua nguo kama hana hisia na wewe labda kama ni kahaba
 
Asilimia kubwa hao wake za watu Hujileta wenyewe,mithili ya m'bwa anapomuona chatu,na ww kama ni mke wa mtu na kila kitu unapatwa na unaridhishwa why utoke nje? Na ukiona anaotoka nje basi ujuwe kuna kitu ndani kina miss
 
Hiv mwanamke.asipokubali kuvuliwa nguo akachanua, huyu mwanaume atamgegedaje? Mdada nenda kasome SWOT au SWOC ANALYSIS utaelewa jibu zuri la swali lako
 
Wanaume ni watu ambao ufahamu wao unaweza kuwa interrupted kirahisi zaidi linapokuja suala na tamaa ya ngono.

Hebu fikiria ujasiri huwa unatoka wapi wa kumtongoza mpaka kutembea na mke wa mtu?

Jibu ni moja tu kipindi anafanya hivyo anakuwa akili zake haziko kawaida, fikiria kidogo uchungu wa mke au mume.

Vipi ukimkuta mwanaume mwenzio juu ya kifua cha mkeo?

Maumivu unayoyapata ndiyo anayoyapata mwanaume mwenzio pale anapogundua mkewe kaliwa nje.

Ukitaka kujua hili jiulize baada ya tendo kwann unajilaumu?

Akili haiwezi kuja mpaka mbegu zimetoka wanaita bao sijui mara round moja.

Inamaana akili za mwanaume huwa hazifanyikazi kbsa kabla ya kupizi.

Nisaidieni niwaelewe nyie viruka njia msiyokuwa na haya.

Najua walioguswa zaidi wenye hekima watajirekebisha ambao akili zao wamekabidhisha kwa shetani watatokwa na mitusi kitusi ambacho huwa kinafanywa na mtu asiye na akili.

Karibuni

Hii mada ime elemea upande mmoja haki ya mungu nakwambia sio haki kabisa
 
Back
Top Bottom