Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,095
mm mswahili ht siku moja husikii mwanaume anadharaulika kwa umalaya. .Na wewe unaamini ya waswahili??
mm mswahili ht siku moja husikii mwanaume anadharaulika kwa umalaya. .Na wewe unaamini ya waswahili??
That is truehivi mwanamke unaejielewa na umeolewa unaanzaje kukubali kugegedwa na mwanamme asokua mmeo si uchoko huo. mimi siwezi jilaumu nikimgegeda mke wa mtu kwani kukubali au kukataa ni maamuzi yake, Samahani lakini
Njoo nikuvue nguo[emoji3]Kama ni tabia yako lazima uone umetusiwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe umefuata chumba sio miyeeeKumbe una mume, mbona hukusema wakati nahamia?
Kwani kuna wake zawatu wanaotoka nje ya ndoa?Wanaume ni watu ambao ufahamu wao unaweza kuwa interrupted kirahisi zaidi linapokuja suala na tamaa ya ngono.
Hebu fikiria ujasiri huwa unatoka wapi wa kumtongoza mpaka kutembea na mke wa mtu?
Jibu ni moja tu kipindi anafanya hivyo anakuwa akili zake haziko kawaida, fikiria kidogo uchungu wa mke au mume.
Vipi ukimkuta mwanaume mwenzio juu ya kifua cha mkeo?
Maumivu unayoyapata ndiyo anayoyapata mwanaume mwenzio pale anapogundua mkewe kaliwa nje.
Ukitaka kujua hili jiulize baada ya tendo kwann unajilaumu?
Akili haiwezi kuja mpaka mbegu zimetoka wanaita bao sijui mara round moja.
Inamaana akili za mwanaume huwa hazifanyikazi kbsa kabla ya kupizi.
Nisaidieni niwaelewe nyie viruka njia msiyokuwa na haya.
Najua walioguswa zaidi wenye hekima watajirekebisha ambao akili zao wamekabidhisha kwa shetani watatokwa na mitusi kitusi ambacho huwa kinafanywa na mtu asiye na akili.
Karibuni
Swadakta.mwanamke ndo wa kujitunza
asili ya mwanaume ni kuchovya chovya mda wote...!!
hvyo mke wa mtu ndo wa kutunza heshima sana tu
waswahili wanasema'umalaya wa mwanaume ni sifa wa mwanamke ni kashfa'
Some women legs are like rumours they keep on spreading.Nitoke nje ya mada kidogo...Kwani umetongozwa monicca?
kwani kuna sheria inayokulazimisha kukubali wakati wewe nimke wa mtu au kabila lako linaruhusuMkuu wanaoongoza kutongoza hovyo ni wanaume za watu, tena na Pete anayo kidoleni. Yaani huwa na nakwazika sana.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Unaanza kwa kumfungua zipu ya mgongoni [emoji3]
Aliwazalo m..........ndilo humtokeaNimejisahau nini mkuu? Mm ni mwanamke mwenye ndoa nimejaribu kuwaza siku nimemkuta mume wangu na mwanamke mwingine.
Kweli, mwanamke asiye na akili sehemu zake za siri ndo zinasurubiwa.mke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe umefuata chumba sio miyeee
kizuri share na nduguyooo...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi inakuaje mwanamke anatoka na mme wa mtu? Tena anaomba apangiwe nyumba,anunuliwe vitu vya ndani na gari kabisa.
Hivi wanawake mnajielewa kweli? Amna uchungu kwa wanawake wenzenu?
Hahaha mugabe sio mtu mzuriiSome women legs are like rumours they keep on spreading.
Angalau tumepata mtetezimke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo...
kutongozwa,kutoa namba ya simu mpk kuingizwa gesti....!!
mshenzi hapa na mchafu ni mwanamke