Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

Mkuu kwa jinsi ulivyokasirika
mimi hata wakijivua wenyewe
siwagusi hata
 
Nimejisahau nini mkuu? Mm ni mwanamke mwenye ndoa nimejaribu kuwaza siku nimemkuta mume wangu na mwanamke mwingine.
Huyo umwitaye mumeo ndiye aliyekata utepe ? Au hujui kuwa asilimia kubwa ya wanawake wanaolewa kwa kuwa umri unawaacha hivyo kujikuta wakiwa katika ndoa na wanaume wasio wa ndoto zao ? Ukikutana na mwanamume wa ndoto yako na akakutolea uvivu nawe utavua Tu ! Kuvua sio lazima iwe ni msukumo wa ujinga au umalaya.

Ifike pahala tujadili kuweka ukweli Mbele na sio kujisifia umwamba tusiokuwa nao. Sio ajabu ungetumia jina lako MTU mwanamume angeibuka na kukusuta kuwa mbona alikuvua !?
 
Walaumu watu wa kale! haya makitu hata sisi tumeyakuta.
 
unapeeenda sana ngono ngono ee
Wanaume ni watu ambao ufahamu wao unaweza kuwa interrupted kirahisi zaidi linapokuja suala na tamaa ya ngono.

Hebu fikiria ujasiri huwa unatoka wapi wa kumtongoza mpaka kutembea na mke wa mtu?

Jibu ni moja tu kipindi anafanya hivyo anakuwa akili zake haziko kawaida, fikiria kidogo uchungu wa mke au mume.

Vipi ukimkuta mwanaume mwenzio juu ya kifua cha mkeo?

Maumivu unayoyapata ndiyo anayoyapata mwanaume mwenzio pale anapogundua mkewe kaliwa nje.

Ukitaka kujua hili jiulize baada ya tendo kwanini unajilaumu?

Akili haiwezi kuja mpaka mbegu zimetoka wanaita bao sijui mara round moja.

Inamaana akili za mwanaume huwa hazifanyikazi kabisa kabla ya kupizi.

Nisaidieni niwaelewe nyie viruka njia msiyokuwa na haya.

Najua walioguswa zaidi wenye hekima watajirekebisha ambao akili zao wamekabidhisha kwa shetani watatokwa na mitusi kitusi ambacho huwa kinafanywa na mtu asiye na akili.

Karibuni
 
Moniccca unajijua ni mke wa mtu unafatwa na mwanaume hadi mnaanza mahusiano akili umeziacha wapi? Unaacha nyumba yako hadi unaingia chumba kimoja na ambaye siyo mumeo ufahamu wako umeuacha wapi? Mnakubaliana hadi mnaanza kuvua nguo ujasiri wa kumtetea mumeo na kiapo kuwa utakuwa mwaminifu umemwachia nani?
 
Moniccca unajijua ni mke wa mtu unafatwa na mwanaume hadi mnaanza mahusiano akili umeziacha wapi? Unaacha nyumba yako hadi unaingia chumba kimoja na ambaye siyo mumeo ufahamu wako umeuacha wapi? Mnakubaliana hadi mnaanza kuvua nguo ujasiri wa kumtetea mumeo na kiapo kuwa utakuwa mwaminifu umemwachia nani?
[emoji106][emoji106][emoji122]
 
Wanavuliwa au wanazivua wenyewe?? Hata ukianza kumvua anavunga hatàki huku akiirufisha juu, cha ajabu ikifika chini kidogo ya goti anaimalizia kwa miguu kama inzi anayenawa !!
 
WA kulaumiwa mwanzo kabisa ni waume zao. Wengi wao wanadhani wakikamilisha matumizi ya nyumbani kazi imekwisha. Wamesahau kwamba hitaji kubwa la msingi kwa mwanamke ni tendo. Laiti ingekuwa hitaji kubwa la mwanamke ni matumizi ya nyumbani basi watoto wa matajiri wasingeolewa.Mwanamke ni jasiri na anaweza kuvumilia shida zote ikiwa mumewe atamridhisha. Lakini Ikiwa "mambo ya ndani " si mazuri ndo mara nyingine anaenda kuvuliwa ch*pi nje. Waume tujitahidi kuwatosheleza wake zetu katika na matumizi.
Kuna ule usemi kunguru hafugiki walimaanisha nini?
 
Semeni yoooote! lakin kama mwanaume umeshindwa kumtunza na kumjali mkeo, sisi wengine tutakusaidia pale uliposhindwa!!!.
 
Wanaume ni watu ambao ufahamu wao unaweza kuwa interrupted kirahisi zaidi linapokuja suala na tamaa ya ngono.

Hebu fikiria ujasiri huwa unatoka wapi wa kumtongoza mpaka kutembea na mke wa mtu?

Jibu ni moja tu kipindi anafanya hivyo anakuwa akili zake haziko kawaida, fikiria kidogo uchungu wa mke au mume.

Vipi ukimkuta mwanaume mwenzio juu ya kifua cha mkeo?

Maumivu unayoyapata ndiyo anayoyapata mwanaume mwenzio pale anapogundua mkewe kaliwa nje.

Ukitaka kujua hili jiulize baada ya tendo kwanini unajilaumu?

Akili haiwezi kuja mpaka mbegu zimetoka wanaita bao sijui mara round moja.

Inamaana akili za mwanaume huwa hazifanyikazi kabisa kabla ya kupizi.

Nisaidieni niwaelewe nyie viruka njia msiyokuwa na haya.

Najua walioguswa zaidi wenye hekima watajirekebisha ambao akili zao wamekabidhisha kwa shetani watatokwa na mitusi kitusi ambacho huwa kinafanywa na mtu asiye na akili.

Karibuni
Na km we ni mke wa mtu utakubali vipi kuvuliwa nguo, km kwel unajal ndoa yako huwezi ruhusu shenzi akusogelee,unatongozwa unakubali unapigwa dushe afu unaanza kulaumu wanaume
Sabaaash!!!!!
 
Na km we ni mke wa mtu utakubali vipi kuvuliwa nguo, km kwel unajal ndoa yako huwezi ruhusu shenzi akusogelee,unatongozwa unakubali unapigwa dushe afu unaanza kulaumu wanaume
Sabaaash!!!!!
Hilo nalo neno
 
Back
Top Bottom