Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,531
- 1,570
Kiafrica africa ni mwanaume anamtongoza mwanamke! ndio maana hata mke wa mtu akikutongoza ukifumaniwa na mumewe msala mkubwa ni kwa mwanaume! Kifupi iko hivi lets say am a married woman hlf nimekupenda saaana ukikataa kunishuhulikia basi inapita lakini kwa mwanaume kwa uwezo mlojaaliwa technically utaongeza silaha mpaka nitaingia kwenye box lako! Ndio maana inasound one sided in most cases!Hapa ishu isiishie kwenye mwanaume kuanza kumvua nguo mke wa mtu, ifikie mpaka kwenye - Mke wa mtu kukubali kuvuliwa nguo na asiye mume wake.
Kuuongelea upande mmoja, unamaanisha kua wake za watu ni wepesi kukubali? Hawawezi kukataa?
Ijazie hizo nyama thread yako.