Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

Mm huabnaona anesababisha hii hali kujitokeza ni mwanamke mwanaume hua ni muoga sana tena ukigusia swala la mke wa mtu

Wanawake wengi wamekua wakianza kujipendekeza kwa wanaume ile hali anajua kabisaa ana mume
Na hii imekua ikianzisha mazoea sana mpaka wanajikuta wanasex then baadae ndo wanakumbuka kua ni wake au waume za watu

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Hahaha. ...devil on fleek....hua hawajielewi....wanawaza kazi moja tu
 
Monicca hujakuwa bado. Ngoja kwanza umri uende kidogo hutakuja kuuliza tena swali hili.

Nikupe mfano, nilimtongoza dada mmoja akakubali baada ya week 3 nikala mzigo. Nikala tena na tena na tena. Mpaka ikawa tabia yetu ya kawaida na mimba nikampachika. Simu anapokea na kujibu message muda wowote ninaomtafuta. Ghetto kwangu alikua anakuja. Akanitambulisha kwa dada zake wawili wa kuzaliwa nao. Alichoniambia tu ni kuwa ana mtoto 1. Na aliolewa ndoa ikavunjika.

Siku 1 tukiwa tunapata nyamachoma tukiwa na dada yake, nilisikia akimwita "mama fulani" jina tofauti na la yule mtoto ninayemjua mimi. Moyo ukashtuka lakini nikavunga na wao wala hawakushtuka kama wameshaharibiana. Ikanibidi nifanye upelelezi mkali, nikagundua yupo kwenye ndoa takatifu ya dini na ana watoto wawili halali na amenipita umri kwa mwaka mmoja japo ye aliniambia tumezaliwa mwaka mmoja. Mumewe ni kijana mzee yaani umri wa ujana unaoelekea uzee na mahali anapofanyia biashara zake huwa nakwenda sana na huwa napata huduma pia. Na ni mtu mwenye fedha nzuri tu za maana. Nilichogundua kingine, hana furaha na ile ndoa yao. Maana nilipompachika mimba alidai nimtoroshe nimpeleke kwetu akaishi na mama yangu.

Siku 1 nikamwita, nikala mzigo, nilipotosheka vizuri nikaanza kumbana aseme ukweli. Akakiri yuko kwenye ndoa. Ukweli nilimuonea huruma yeye pamoja na huyo mume wake. Nikaahidi kumwacha. Alilia na kubembeleza sana nisimwache na nimpe hela akatoe mimba. Nikakataa na pesa sikumpa.

Niliwahi kujiapiza sitatembea na mke wa mtu lakini hapo nilishanasa kwenye trap. I stayed apart from her kwa miezi 10 tukiwasiliana siku moja moja tu. Lakini siku moja alikuja getto nikala tena. Na anadai kila siku.....namuepuka.

Kwa hiyo dada we subiri umri uongezeke utajua tunaanzaje kuwavua nguo wake za watu.
 
Monicca hujakuwa bado. Ngoja kwanza umri uende kidogo hutakuja kuuliza tena swali hili.

Nikupe mfano, nilimtongoza dada mmoja akakubali baada ya week 3 nikala mzigo. Nikala tena na tena na tena. Mpaka ikawa tabia yetu ya kawaida na mimba nikampachika. Simu anapokea na kujibu message muda wowote ninaomtafuta. Ghetto kwangu alikua anakuja. Akanitambulisha kwa dada zake wawili wa kuzaliwa nao. Alichoniambia tu ni kuwa ana mtoto 1. Na aliolewa ndoa ikavunjika.

Siku 1 tukiwa tunapata nyamachoma tukiwa na dada yake, nilisikia akimwita "mama fulani" jina tofauti na la yule mtoto ninayemjua mimi. Moyo ukashtuka lakini nikavunga na wao wala hawakushtuka kama wameshaharibiana. Ikanibidi nifanye upelelezi mkali, nikagundua yupo kwenye ndoa takatifu ya dini na ana watoto wawili halali na amenipita umri kwa mwaka mmoja japo ye aliniambia tumezaliwa mwaka mmoja. Mumewe ni kijana mzee yaani umri wa ujana unaoelekea uzee na mahali anapofanyia biashara zake huwa nakwenda sana na huwa napata huduma pia. Na ni mtu mwenye fedha nzuri tu za maana. Nilichogundua kingine, hana furaha na ile ndoa yao. Maana nilipompachika mimba alidai nimtoroshe nimpeleke kwetu akaishi na mama yangu.

Siku 1 nikamwita, nikala mzigo, nilipotosheka vizuri nikaanza kumbana aseme ukweli. Akakiri yuko kwenye ndoa. Ukweli nilimuonea huruma yeye pamoja na huyo mume wake. Nikaahidi kumwacha. Alilia na kubembeleza sana nisimwache na nimpe hela akatoe mimba. Nikakataa na pesa sikumpa.

Niliwahi kujiapiza sitatembea na mke wa mtu lakini hapo nilishanasa kwenye trap. I stayed apart from her kwa miezi 10 tukiwasiliana siku moja moja tu. Lakini siku moja alikuja getto nikala tena. Na anadai kila siku.....namuepuka.

Kwa hiyo dada we subiri umri uongezeke utajua tunaanzaje kuwavua nguo wake za watu.
Bila wewe kumtongoza angefanya yote hayo?
 
Bila wewe kumtongoza angefanya yote hayo?
Mimi sikujua kama mke wa mtu. Angeniambia mapema nisingeendelea.
Halafu, kumtongoza mi ilikua ni kukamilisha utaratibu tu. Ishara za kunitaka alishanionesha mwenyewe.
 
Hahahaha! Wewe jibebishe tu, ujikute umechafua suruali

Hahaaa!Kipnzi changu Monnica nimecheka sana tena kwa sauti hadi humu kwenye tekisi watu wanitolea macho!Usinambie namna nilivyoandika umejikuta ukisisimka pia...na kuhisi kama wadudu fulani wakikunyevuanyevua hivi na kukumbwa na uhitaji!ona ulivyowaza mbali...uhitaji wa kula ugali wa mtama kwa kunde bwana ebooo...
 
Hahaaa!Kipnzi changu Monnica nimecheka sana tena kwa sauti hadi humu kwenye tekisi watu wanitolea macho!Usinambie namna nilivyoandika umejikuta ukisisimka pia...na kuhisi kama wadudu fulani wakikunyevuanyevua hivi na kukumbwa na uhitaji!ona ulivyowaza mbali...uhitaji wa kula ugali wa mtama kwa kunde bwana ebooo...
Hahahaha! Hongera kwa kucheka, lkn kusisimka hakuji kihivyo
 
msitusengenye wanaume na nyie huwa mnaanzia wapi kuanza kuramba koni
 
Ndo uache kutongo hovyo hovyo
Wala sio hovyo....nilimpenda sana. Na n mwanamke msafi kuliko wote niliowahi kuwa nao. Ninaposema msafi simaanishi kujiremba namaanisha kule ikulu. Asingekuwa mke wa mtu mi ningehamishia nyumbani kwangu.
 
Back
Top Bottom