Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 328
- 1,209
Mmoja hapo nyuma mwenye nguo ya ugolo na miwani anafanana na Mamaangu mpendwa sana mama Janeth Magufuli
Na aliyekaa msatri wa mbele ni Raisi wa Nchi kwahiyo kama mpangilio ni wakumweka ulinzi hapo ni sawa tu kikubwa wasiharibu protocol ya mahala husika.
Usalama gani???magumashi tuu!!
😃😀Usalama gani???magumashi tuu!!
Usalama wanashindwa kuiokoa nchi kwenye mikataba mibovu!!
Hata kama hatuwatukuzi, ila hii haishangazi..... ni kama zile za wauza madafu.Mnawatukuza sana hawa watu kama miungu