Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,001
๐ ๐ ๐Bolingo motema na ngai
๐ ๐ ๐Bolingo motema na ngai
Wewe, yaani familia yako ilale njaa kisa hutaki kuonekana mkosefu wa "akili"? ๐ ๐ ๐Kiasi yupo sahihi
Mwanamke ni kheri uchangie ujenzi na vitu tangible hata mkiachana mtagawana
Lakini kamwe usichangie kulisha familia haswa kama kuna ndugu etc familia kubwa hakuna mtu amewahi kusifiwa Au kukumbukwa kwa kulisha ndugu haswa ndugu wa mume hawa mkitengana na mume watakuwa upande wake daima sio ndugu zako
Hio nguvu ni kheri ujenge na kuwezesha kwenu
Mwanamke ishi kwa akili sio kuweka hisia siku yakikukuta utaisha.....
Wananchi wenye hasira kali karibuni mnipopoe
Kweli kabisa, yaani mkichangia nyote ndivyo life yenyu inakuwa nyweee! Lakini mtu mmoja awe ndio tegemeo, na sio ati mwenzake ni kilema au ana shida zingine, yupo yupo tu, basi maisha yatakuwa tight na yatasonga kinyonga nyoga vile. Sio advisable kabisa. Two heads are better than one. โ๏ธMaisha ni kile unachochagua, amechagua kuishi namna hiyo kwenye ndoa yake, its her life, let her be, ila sio maisha mazuri wala productive kwangu mimi, in that case hata maendeleo ya familia yatakua magumu sana na anamfanya mwenza anabeba msigo mkubwa sana, kama hata kijiko ukinunua unaomba refund, ni hatati sana, pia ni maisha ambayo yanaweza kuwaathiri watoto kwa kiasi fulani, irresponsible woman will bring up irresponsible kids
Leo umeamua naona! ๐ฌ๐ฌ๐ฌAh wee mbona umepotea kule kwenye knowledge za ukweli?
Ah kwa kweli mbususu has given me memorable moments that i shall take with me to the grave....acha tuu ni starehe namba moja dunia hands down.
Pisi kali muendelee tuu kutupa hizo mbususu zenu.
Alafu u ajua mie nakutamani wacha nikwambie tuu....sasa inakuwaje?
Kwani wanawake ndio wanatabirika?Tatizo Wanaume wengi hawatabiriki.
Kabla hatujagawana nakuchukua msukule mali zangu ziongezekeKiasi yupo sahihi
Mwanamke ni kheri uchangie ujenzi na vitu tangible hata mkiachana mtagawana
Lakini kamwe usichangie kulisha familia haswa kama kuna ndugu etc familia kubwa hakuna mtu amewahi kusifiwa Au kukumbukwa kwa kulisha ndugu haswa ndugu wa mume hawa mkitengana na mume watakuwa upande wake daima sio ndugu zako
Hio nguvu ni kheri ujenge na kuwezesha kwenu
Mwanamke ishi kwa akili sio kuweka hisia siku yakikukuta utaisha.....
Wananchi wenye hasira kali karibuni mnipopoe
Sii unaona mrembo mwenye hilo tabasamLeo umeamua naona! ๐ฌ๐ฌ๐ฌ
๐ค๐ค๐ค๐Sii unaona mrembo mwenye hilo tabasam