Una maoni gani kuhusu wanawake wa aina hii?

Habari za jumapili.

Katika kuzunguka zangu mtandaoni nikakutana na hii comment ya mdada tena mke wa mtu kwa mujibu wa maelezo yake nanukuu.

"kandake_beauty_tz Nina ndoa ya miaka 12 sijawahi hata kuchangia msumari Kwenye ujenzi na siwezi hili swala niliji funzaga tokea nipo binti niliona vile mama yangu alihangaika na ujenzi alafu akaishia kuishi mwanamke mwingine na wanae.

Sinunui chakula wala silipi ada yani ata nikinunua kitu kwa hela yangu naomba refund . Never trust men kabisaa "

Nini maoni yako?
Yupo sahihi
 
Hahaha mzee wa mbususu, i hope mbususu has done good to you in this life
Ah wee mbona umepotea kule kwenye knowledge za ukweli?

Ah kwa kweli mbususu has given me memorable moments that i shall take with me to the grave....acha tuu ni starehe namba moja dunia hands down.
Pisi kali muendelee tuu kutupa hizo mbususu zenu.

Alafu u ajua mie nakutamani wacha nikwambie tuu....sasa inakuwaje?
 
Ah wee mbona umepotea kule kwenye knowledge za ukweli?

Ah kwa kweli mbususu has given me memorable moments that i shall take with me to the grave....acha tuu ni starehe namba moja dunia hands down.
Pisi kali muendelee tuu kutupa hizo mbususu zenu.

Alafu u ajua mie nakutamani wacha nikwambie tuu....sasa inakuwaje?
Kule kwenye fact wewe ndo umepotea, tumebaki mimi na Kim Dawizzy wengine sijui mmekimbilia wapi

Keep on praising mbususu as usual, you will get want you never had
 
Life its all about perception... Inategemea umekaa upande gani! Kuna upande ukikaa inaonekana 9.. Na Kuna Upande ni 6.. Zote sahihi! So kwa upande wake huyo mwanamama yuko sahihi, na Mungu alivyo wa ajabu ni kwamba kila mtu huwa anapewa wa "Kufanana nae".
 
Hiyo sio ndoa, ndoa ambayo unaogopa hata kuchangia maendeleao ya familia yako maana yake humuamini mume wako, kama mmefikia hatua ya wewe kuogopa kuchangia jambo lolote kwenye familia kwa fikra kwamba utaachwa atafurahia mwingine mali basi ni heri kuvunja hiyo ndoa.

Kwenye ndoa mke ndio mwenye nyumba bana, ukionyesha njia nzuri na ukiwa mshauri mzuri na mchangiahi mzuri ni rahisi mume kuvutika na mkafanya makubwa tena kwa malengo,

na sikuhizi wanaume wamejanjaruka, kila mradi wa maendeleo mnaonzisha pamoja anaweka kwenye maandishi kwamba hata asipikuwepo mali ni za watoto na zitakuwa chini ya usimanizi wa mke mpaka watoto watakapojitambua, like wise mke asipokuwepo mali zotakua chini ya usimamizi wa mume mpaka watoto watakapojitambua

Kusaidia ndugu kama uwezo unaruhusu sio jambo baya pia, wote ni wanafamilia

Sijasoma comment yote lakini hapo mwanzo tu umeonyesha kunipinga
Naomba nikwambie maisha hayana formula na hakuna lililo sahihi na lisilo sahihi ni maamuzi tu ya mtu binafsi...so kwa definition yangu naomba nisimame nilipo na wewe upande wako we are both right
 
Sijasoma comment yote lakini hapo mwanzo tu umeonyesha kunipinga
Naomba nikwambie maisha hayana formula na hakuna lililo sahihi na lisilo sahihi ni maamuzi tu ya mtu binafsi...so kwa definition yangu naomba nisimame nilipo na wewe upande wako we are both right
Sure
 
Hiyo sio ndoa, ndoa ambayo unaogopa hata kuchangia maendeleao ya familia yako maana yake humuamini mume wako, kama mmefikia hatua ya wewe kuogopa kuchangia jambo lolote kwenye familia kwa fikra kwamba utaachwa atafurahia mwingine mali basi ni heri kuvunja hiyo ndoa.

Kwenye ndoa mke ndio mwenye nyumba bana, ukionyesha njia nzuri na ukiwa mshauri mzuri na mchangiahi mzuri ni rahisi mume kuvutika na mkafanya makubwa tena kwa malengo,

na sikuhizi wanaume wamejanjaruka, kila mradi wa maendeleo mnaonzisha pamoja anaweka kwenye maandishi kwamba hata asipikuwepo mali ni za watoto na zitakuwa chini ya usimanizi wa mke mpaka watoto watakapojitambua, like wise mke asipokuwepo mali zotakua chini ya usimamizi wa mume mpaka watoto watakapojitambua

Kusaidia ndugu kama uwezo unaruhusu sio jambo baya pia, wote ni wanafamilia
Kunywa soda moja kwa Mangi nakuja kulipa!! Point!!
 
Back
Top Bottom