Lastmost
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 881
- 1,021
- Thread starter
- #81
Aiseeee,alinusurikaNitoe kisa kimoja cha kweli kilitokea zamani kidogo mwaka 1993 kipindi ndio simu zinaanza kuingia enzi hizo zilikuwa ni mobitel tu na tritel.Mtoto mmoja wa waziri wizara flani hapa nchini alikuwa anaoa.Vile baba yake alikuwa mtu mkubwa sana kwa vyovyote harusi ilikuwa kubwa na walipata zawadi nyingi sana na mikufu ya dhahabu.
Dogo alikuwa anakaa nyumba alijenga baba yake Kunduchi yenye flat moja.Walivorudi usiku na mkewe mpya wakiwa juu usiku wa manane mishale ya saa tisa kwa chini wakaona kuna kundi la majambazi wana mapanga yanawaka waka.Dogo akajua kimenuka.Alimpigia simu baba yake yeye alikuwa anaishi sio mbali sana na hapo baba yake akaenda polisi wakaja na defender ikiwa na kundi lenye maaskari na vya moja.
Ila landrove ilivyofika kwa fujo sana maaskari wakashuka majambazi wakajua kimenuka wakakimbilia porini.
Swali je baba yake angezima simu kingetokea nini?
