Umuhimu wa kutozima Simu usiku

Umuhimu wa kutozima Simu usiku

Mimi kabla ya kupanda kitandani nazim simu . Ndio utaratibu niliojiwekea. Naheshimu usingizi wangu.

BTW, kwani wazee wetu zamani hizo mbona waliishi bila simu na maisha yalisonga mbele.!?
 
Licha ya thawabu hata likitokea la Kutokea jirani ndo wa kwanza kukuhabarisha
Nakumbu Uncle alifariki usiku wa saa 6 pale sinza, mama mkubwa anakaa G'mboto, asbh kajiandaa anaenda zake Kisarawe ofisini kwake. Anafika minaki ndiyo anapatikana wakamuuliza vipi mbona hukupatikana usiku kucha. Akajibu nilizima simu wakati huo watu wa Moro wameshafika kitambo. Tukamuuliza unazimaje simu mtu mzima wewe umeona sasa.
 
Nakumbu Uncle alifariki usiku wa saa 6 pale sinza, mama mkubwa anakaa G'mboto, asbh kajiandaa anaenda zake Kisarawe ofisini kwake. Anafika minaki ndiyo anapatikana wakamuuliza vipi mbona hukupatikana usiku kucha. Akajibu nilizima simu wakati huo watu wa Moro wameshafika kitambo. Tukamuuliza unazimaje simu mtu mzima wewe umeona sasa.
Chezea simu weye, hata polisi jamiii wenyewe wanakuambia majirani mpeane namba za simu hata likitokea lolote usiku mnaamshana
 
Sizimi lakini naiweka silent. Ni sawa na kuzima tu. Ukipiga haunipati. Nikiacha sauti silali. Na huwa nikiamshwa usiku toka usingizini, huwa silali tena. Nisipolala kwa muda mrefu itaathiri afya yangu. Eti kwa kusubiri simu moja ya dharura katika miaka 10 ama 20. Kwa kweli ukinitafuta usiku hautanipata. Sorry.

Zamani wakati simu zimeanza kuingia kwa mara ya kwanza, nilikuwa naiacha on. Halafu wanafunzi wakawa wanapiga kusalimia saa 8, 9, 11, usiku kwa vile kupiga saa hizo ilikuwa bei rahisi kwao. Na wengine walikuwa wanapiga wrong number. Mtu anakuamsha saa 10 usiku, halafu haumjui ama eti anakusalimia. Imagine!
Salaam wana jukwaa,Kuna hii tabia ya kuzima simu usiku mwa kuepuka usumbufu wa calls na sms.

Je, ulishawahi kuzima simu usiku then ukajutia? Tujitahidi kuacha simu zetu on kila wakati.

Mimi Kuna siku nilizima simu usiku then nikalala,kumbe usiku wa Kama saa sita Kuna gari ilikuja ikapaki barabarani,karibu na nyumba yangu,(Mimi naishi pembezoni mwa barabara,Tena kilimani).

Sasa majirani zangu wanaokaa bondeni kidogo wakaiona ile gari,imewasha taa,Ila haiondoki wakajaribu kunipigia wakakuta simu iko off.

Ashukuriwe Mungu baada ya muda gari ikaondoka.

Asubuhi ndo wananiuliza kwanini ulizima simu?

Km wenye gari walikuwa na lengo baya ungesaidikaje?

Nami nikajifunza kitu,ikiwezekana acha simu yako on usiku.

Kazi iendelee.
 
Yaani usizime simu kwa miaka 20 ili mtu mmoja akifa usiku saa 6 ktk miaka hiyo 20 upate taarifa muda huo? Kweli? Au kila baada ya siku 3 unapigiwa simu ya mtu kufariki saa 6 usiku?
Nakumbu Uncle alifariki usiku wa saa 6 pale sinza, mama mkubwa anakaa G'mboto, asbh kajiandaa anaenda zake Kisarawe ofisini kwake. Anafika minaki ndiyo anapatikana wakamuuliza vipi mbona hukupatikana usiku kucha. Akajibu nilizima simu wakati huo watu wa Moro wameshafika kitambo. Tukamuuliza unazimaje simu mtu mzima wewe umeona sasa.
 
Yaani usizime simu kwa miaka 20 ili mtu mmoja akifa usiku saa 6 ktk miaka hiyo 20 upate taarifa muda huo? Kweli? Au kila baada ya siku 3 unapigiwa simu ya mtu kufariki saa 6 usiku?
Kama nimekusoma umesema wanafunzi wanakupigia simu usiku, mimi boss wangu hawezi kunipigia simu usiku wala sina mwanafunzi.anipigiae usiku.Siku moja moja napiga simu huko kwenye asili yetu teeena mwisho saa tatu baada ya hapo simu ipo kimya ukiona sms ujue tigo au voda na matangazo yao mkuu.Na simu ya usiku ujue zaidi ya 3 au 4 ujue ni janga la haja siyo mchezo
 
Salaam wana jukwaa,Kuna hii tabia ya kuzima simu usiku mwa kuepuka usumbufu wa calls na sms.

Je, ulishawahi kuzima simu usiku then ukajutia? Tujitahidi kuacha simu zetu on kila wakati.

Mimi Kuna siku nilizima simu usiku then nikalala,kumbe usiku wa Kama saa sita Kuna gari ilikuja ikapaki barabarani,karibu na nyumba yangu,(Mimi naishi pembezoni mwa barabara,Tena kilimani).

Sasa majirani zangu wanaokaa bondeni kidogo wakaiona ile gari,imewasha taa,Ila haiondoki wakajaribu kunipigia wakakuta simu iko off.

Ashukuriwe Mungu baada ya muda gari ikaondoka.

Asubuhi ndo wananiuliza kwanini ulizima simu?

Km wenye gari walikuwa na lengo baya ungesaidikaje?

Nami nikajifunza kitu,ikiwezekana acha simu yako on usiku.

Kazi iendelee.
Note: Nyumba yangu
 
Ishu niliyokujibu ni ya kuacha simu wazi ili kukiwa na msiba wa 6 usiku usikupite. Usijifanye kichaa.
Kama nimekusoma umesema wanafunzi wanakupigia simu usiku, mimi boss wangu hawezi kunipigia simu usiku wala sina mwanafunzi.anipigiae usiku.Siku moja moja napiga simu huko kwenye asili yetu teeena mwisho saa tatu baada ya hapo simu ipo kimya ukiona sms ujue tigo au voda na matangazo yao mkuu.Na simu ya usiku ujue zaidi ya 3 au 4 ujue ni janga la haja siyo mchezo
 
Huwa nazima simu usiku kwasababu sipendi usumbufu usiku,usiku ni muda wa kulala na kuipumzisha akili,nitafute mchana kutwa lakini si usiku.

Suala la mama kuumwa usiku hiyo ni emergency ambayo haikutarajiwa,hata kama simu ikiwa on halafu akaumwa usiku na mnakaa mikoa tofauti,utafanya nini?,mwanadamu tumeumbwa na tulipewa akili ya kupambanua mambo,mama yako anaumwa na anajua uko mbali inapaswa ajiongeze kwa watu wa karibu yake au majirani,sidhani kama mama yako hana hata ndugu anayeishi naye!.

Huwa nazima simu usiku kwa kuepusha habari mbaya za ghafla zitakazopelekea kukosa usingizi,kama tujuavyo usingizi ni muhimu na ndiyo maana tukapewa masaa 24,yaani 12 kupiga kazi na 12 kupumzika!,kama kutakuwa na taarifa mbaya ni bora nikutane nayo asubuhi nikishaamka maana akili itakuwa fresh!.

Kwangu mimi kuzima simu usiku ni jambo zuri kuliko kuiacha on.

Ya kwamba una hofia majambazi?,hebu jiulize kwa jiografia ya nchi yetu hii na mikoa tunayoishi,umepata tatizo la kuvamiwa na majambazi usiku ukapiga simu polisi watafika kwa wakati huo?,hii nchi tunajuana sana na wala tusidanganyane,umpigie uenda jirani yako atakusaidia nini na wazee wana mijegeje mikononi?.

Kwa kifupi hatuzimi simu usiku ili itulinde,bali tunazima simu usiku ili kuepusha usumbufu na kupata muda mzuri wa kupumzisha akili.
Umeongea UPUPU
 
Nakumbu Uncle alifariki usiku wa saa 6 pale sinza, mama mkubwa anakaa G'mboto, asbh kajiandaa anaenda zake Kisarawe ofisini kwake. Anafika minaki ndiyo anapatikana wakamuuliza vipi mbona hukupatikana usiku kucha. Akajibu nilizima simu wakati huo watu wa Moro wameshafika kitambo. Tukamuuliza unazimaje simu mtu mzima wewe umeona sasa.
Nimepokea simu nyingi za matatizo ya ndugu na jamaa zangu muhimu USIKU. Kuna yale ambayo unajikuta wewe ndio msaada wao na yale ya KIFO ambayo yatakufanya uwahi sehemu ya tukio.
Mfano Muislam akifariki usiku basi mapema kesho yake anazikwa, unapozima simu taarifa hizo utapata wakati washazika na utajiona mjinga wakati ungewahi hata kuzika.
Kuzima simu USIKU NI UPUMBAVU.
 
Kuacha simu wazi kwa miaka 10-20 ili upate habari za msiba mmoja usiku, ni upumbavu zaidi. Labda kama huko kwenu kuna watu wanakufa usiku kila baada ya siku 2-3.
Kuzima simu USIKU NI UPUMBAVU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom