Barakate I have
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 736
- 667
Pesa sio solution ya Kila kitu jombaaaTafuta pesa wewe achana na Majirani
Licha ya thawabu hata likitokea la Kutokea jirani ndo wa kwanza kukuhabarishaKama unayo akili timamu kumsaidia jirani ni thawabu hasa tatizo la usiku likimpata mkuu.
Nakumbu Uncle alifariki usiku wa saa 6 pale sinza, mama mkubwa anakaa G'mboto, asbh kajiandaa anaenda zake Kisarawe ofisini kwake. Anafika minaki ndiyo anapatikana wakamuuliza vipi mbona hukupatikana usiku kucha. Akajibu nilizima simu wakati huo watu wa Moro wameshafika kitambo. Tukamuuliza unazimaje simu mtu mzima wewe umeona sasa.Licha ya thawabu hata likitokea la Kutokea jirani ndo wa kwanza kukuhabarisha
Sasa kama waliishi bila simu we umenunua ya nini? Si uishi bila simuMimi kabla ya kupanda kitandani nazim simu . Ndio utaratibu niliojiwekea. Naheshimu usingizi wangu.
BTW, kwani wazee wetu zamani hizo mbona waliishi bila simu na maisha yalisonga mbele.!?
Chezea simu weye, hata polisi jamiii wenyewe wanakuambia majirani mpeane namba za simu hata likitokea lolote usiku mnaamshanaNakumbu Uncle alifariki usiku wa saa 6 pale sinza, mama mkubwa anakaa G'mboto, asbh kajiandaa anaenda zake Kisarawe ofisini kwake. Anafika minaki ndiyo anapatikana wakamuuliza vipi mbona hukupatikana usiku kucha. Akajibu nilizima simu wakati huo watu wa Moro wameshafika kitambo. Tukamuuliza unazimaje simu mtu mzima wewe umeona sasa.
Salaam wana jukwaa,Kuna hii tabia ya kuzima simu usiku mwa kuepuka usumbufu wa calls na sms.
Je, ulishawahi kuzima simu usiku then ukajutia? Tujitahidi kuacha simu zetu on kila wakati.
Mimi Kuna siku nilizima simu usiku then nikalala,kumbe usiku wa Kama saa sita Kuna gari ilikuja ikapaki barabarani,karibu na nyumba yangu,(Mimi naishi pembezoni mwa barabara,Tena kilimani).
Sasa majirani zangu wanaokaa bondeni kidogo wakaiona ile gari,imewasha taa,Ila haiondoki wakajaribu kunipigia wakakuta simu iko off.
Ashukuriwe Mungu baada ya muda gari ikaondoka.
Asubuhi ndo wananiuliza kwanini ulizima simu?
Km wenye gari walikuwa na lengo baya ungesaidikaje?
Nami nikajifunza kitu,ikiwezekana acha simu yako on usiku.
Kazi iendelee.
Nakumbu Uncle alifariki usiku wa saa 6 pale sinza, mama mkubwa anakaa G'mboto, asbh kajiandaa anaenda zake Kisarawe ofisini kwake. Anafika minaki ndiyo anapatikana wakamuuliza vipi mbona hukupatikana usiku kucha. Akajibu nilizima simu wakati huo watu wa Moro wameshafika kitambo. Tukamuuliza unazimaje simu mtu mzima wewe umeona sasa.
Kama nimekusoma umesema wanafunzi wanakupigia simu usiku, mimi boss wangu hawezi kunipigia simu usiku wala sina mwanafunzi.anipigiae usiku.Siku moja moja napiga simu huko kwenye asili yetu teeena mwisho saa tatu baada ya hapo simu ipo kimya ukiona sms ujue tigo au voda na matangazo yao mkuu.Na simu ya usiku ujue zaidi ya 3 au 4 ujue ni janga la haja siyo mchezoYaani usizime simu kwa miaka 20 ili mtu mmoja akifa usiku saa 6 ktk miaka hiyo 20 upate taarifa muda huo? Kweli? Au kila baada ya siku 3 unapigiwa simu ya mtu kufariki saa 6 usiku?
Note: Nyumba yanguSalaam wana jukwaa,Kuna hii tabia ya kuzima simu usiku mwa kuepuka usumbufu wa calls na sms.
Je, ulishawahi kuzima simu usiku then ukajutia? Tujitahidi kuacha simu zetu on kila wakati.
Mimi Kuna siku nilizima simu usiku then nikalala,kumbe usiku wa Kama saa sita Kuna gari ilikuja ikapaki barabarani,karibu na nyumba yangu,(Mimi naishi pembezoni mwa barabara,Tena kilimani).
Sasa majirani zangu wanaokaa bondeni kidogo wakaiona ile gari,imewasha taa,Ila haiondoki wakajaribu kunipigia wakakuta simu iko off.
Ashukuriwe Mungu baada ya muda gari ikaondoka.
Asubuhi ndo wananiuliza kwanini ulizima simu?
Km wenye gari walikuwa na lengo baya ungesaidikaje?
Nami nikajifunza kitu,ikiwezekana acha simu yako on usiku.
Kazi iendelee.
Kama nimekusoma umesema wanafunzi wanakupigia simu usiku, mimi boss wangu hawezi kunipigia simu usiku wala sina mwanafunzi.anipigiae usiku.Siku moja moja napiga simu huko kwenye asili yetu teeena mwisho saa tatu baada ya hapo simu ipo kimya ukiona sms ujue tigo au voda na matangazo yao mkuu.Na simu ya usiku ujue zaidi ya 3 au 4 ujue ni janga la haja siyo mchezo
Shika adabu yako na kichaa chako cha kurithiIshu niliyokujibu ni ya kuacha simu wazi ili kukiwa na msiba wa 6 usiku usikupite. Usijifanye kichaa.
Umeongea UPUPUHuwa nazima simu usiku kwasababu sipendi usumbufu usiku,usiku ni muda wa kulala na kuipumzisha akili,nitafute mchana kutwa lakini si usiku.
Suala la mama kuumwa usiku hiyo ni emergency ambayo haikutarajiwa,hata kama simu ikiwa on halafu akaumwa usiku na mnakaa mikoa tofauti,utafanya nini?,mwanadamu tumeumbwa na tulipewa akili ya kupambanua mambo,mama yako anaumwa na anajua uko mbali inapaswa ajiongeze kwa watu wa karibu yake au majirani,sidhani kama mama yako hana hata ndugu anayeishi naye!.
Huwa nazima simu usiku kwa kuepusha habari mbaya za ghafla zitakazopelekea kukosa usingizi,kama tujuavyo usingizi ni muhimu na ndiyo maana tukapewa masaa 24,yaani 12 kupiga kazi na 12 kupumzika!,kama kutakuwa na taarifa mbaya ni bora nikutane nayo asubuhi nikishaamka maana akili itakuwa fresh!.
Kwangu mimi kuzima simu usiku ni jambo zuri kuliko kuiacha on.
Ya kwamba una hofia majambazi?,hebu jiulize kwa jiografia ya nchi yetu hii na mikoa tunayoishi,umepata tatizo la kuvamiwa na majambazi usiku ukapiga simu polisi watafika kwa wakati huo?,hii nchi tunajuana sana na wala tusidanganyane,umpigie uenda jirani yako atakusaidia nini na wazee wana mijegeje mikononi?.
Kwa kifupi hatuzimi simu usiku ili itulinde,bali tunazima simu usiku ili kuepusha usumbufu na kupata muda mzuri wa kupumzisha akili.
Shika adabu yako na kichaa chako cha kurithi
Nimepokea simu nyingi za matatizo ya ndugu na jamaa zangu muhimu USIKU. Kuna yale ambayo unajikuta wewe ndio msaada wao na yale ya KIFO ambayo yatakufanya uwahi sehemu ya tukio.Nakumbu Uncle alifariki usiku wa saa 6 pale sinza, mama mkubwa anakaa G'mboto, asbh kajiandaa anaenda zake Kisarawe ofisini kwake. Anafika minaki ndiyo anapatikana wakamuuliza vipi mbona hukupatikana usiku kucha. Akajibu nilizima simu wakati huo watu wa Moro wameshafika kitambo. Tukamuuliza unazimaje simu mtu mzima wewe umeona sasa.
Kuzima simu USIKU NI UPUMBAVU.