😂😂Unamtisha jamaaHuo ndio umri wake sahihi.. Hatujapishana sana
🤣🤣🤣🤣Nmekutumia tone tone umepata? 😁
Unajuaje wakati 70 wewe ulikuwa hujazaliwa?Sio kweli 100%.
Sio kweli 100%
Mtu mzima kamwaga mboga, kazima moto, katoboa na sufuria.....
Tupo wengi tu mkuu. Watu tumenyeshewa mvua za tangu uhuru, mpaka leo zinatunyeshea tu. Hata matusi na kukosewa adabu tumeshaota sugu tumezoea, wala hatujibu!Kumbeee,!!
Humu kuna wakati huwa pengine tunawakosea Adabu 'Madingi na Mamazeri' wetu kabisa.
Tunawachukulia poa na kudhani ni ma-eji-meti zetu.
Fikiria watu wana mvua 50+, Na-hawasemi? Shikamooni ma-EJI-GO 😀
Umenichekesha sana baada ya kukuelewa ulichoandika eti katoboa na sufuria..Mtu mzima kamwaga mboga, kazima moto, katoboa na sufuria.....
Sio kweli 100%.Huo ndio umri wake sahihi.. Hatujapishana sana
Sio kweli Humphrey hana elimu ya Kuunga unga ni miongoni mwa watu waliokuwa smart sana wakati anasoma.Mark my words sisemi kwa uchawa.Moja ya historia ya Humphrey ktk elimu ni kuungaunga sana waliwahi jibizana na Ado Shaina juu ya hili
Alikuwa na njaa huyo mbuziHuyu Mwamba huwa namkubali sana toka Enzi za Katiba mpya
Tulia uhesabu vzr ikiwezekana uhukue calculator, naamini utaelewa tuFrom 4 mwk 2000 atakuwa alimaliza na twenty sio 30
Ausiyo sijui umenielewa ndugu
Miaka 38 ndo umemaliza Form 4 hapa maana yake walimu wakikwambia kamlete mzazi kesho wewe mwenyewe unakuja na nguo za kiraia kama mzaziSiyo ajabu. Mimi nimemaliza form 4 nikiwa na 38. 🤣🤣🤣🤣
Mtu mzima kamwaga mboga, kazima moto, katoboa na sufuria.....
Hana mke ni member mtiifu wa chaputa sabuni zikimuona zinapigania uhuru waoHuenda ana wajukuu!
Ana mke na watoto wangapi?
Nilihitimu kidato cha nne wakati ambao ajira mpya za waalimu zinatoka. Kuna mwalimu alikuja shuleni kwetu katika story (baada ya kuhitimu na kurudi uraiani kusubiri matokeo) nikagundua namzidi miaka miwili. Najaribu kusema kuwa kuna watu walichelewa kuanza shule au walirudiarudia sana mpaka kuhitimu.Sio kweli.
Leo nilikuwa na mwalimu wake wa F3, mwalimu ana miaka 52
Ndo nani? Mpwa wa mtume?