Umri wa Humphrey Polepole

Umri wa Humphrey Polepole

Mimi pia nimemaliza 4M4 na 20 yrs na tulikuwa na classmate yupo na 28 yrs
Mimi jamaa yangu mmoja alikuwa na mke Kigoma, alikuwa anafanya kazi kwa Mzungu,wakakubaliana,asome kwanza,ajuejue kiinglishi ili aende nae majuu!Akamaliza form4akiwa na miakz28!ndevu kibao.
 
Mimi jamaa yangu mmoja alikuwa na mke Kigoma, alikuwa anafanya kazi kwa Mzungu,wakakubaliana,asome kwanza,ajuejue kiinglishi ili aende nae majuu!Akamaliza form4akiwa na miakz28!ndevu kibao.

zamani ilikuwa kawaida na watu walikuwa enthusiasm katika Ku chase dreams Ila kwa sasa MTU anaingia 28 akiwa amechoka Mwili ,roho nafsi na akili hauwezi kumwambia jambo Kama hilo akakubali easily.
 
Labda mwl wake wa form 3 alikuwa mdogo kwake? zamani shule zilikuwa hazingatii umri, mimi nimesoma na mabraza yaani nina miaka 16 form one, wenyewe wana miaka 20

zamani ilikuwa kawaida na watu walikuwa enthusiasm katika Ku chase dreams Ila kwa sasa MTU anaingia 28 akiwa amechoka Mwili ,roho nafsi na akili hauwezi kumwambia jambo Kama hilo akakubali easily.
Sahihi Mkuu!
 
Kumbeee,!!
Humu kuna wakati huwa pengine tunawakosea Adabu 'Madingi na Mamazeri' wetu kabisa.
Tunawachukulia poa na kudhani ni ma-eji-meti zetu.
Fikiria watu wana mvua 50+, Na-hawasemi? Shikamooni ma-EJI-GO 😀
 
Kumbeee,!!
Humu kuna wakati huwa pengine tunawakosea Adabu 'Madingi na Mamazeri' wetu kabisa.
Tunawachukulia poa na kudhani ni ma-eji-meti zetu.
Fikiria watu wana mvua 50+, Na-hawasemi? Shikamooni ma-EJI-GO 😀
😄😄😄 kweli aisee
 
Kumbeee,!!
Humu kuna wakati huwa pengine tunawakosea Adabu 'Madingi na Mamazeri' wetu kabisa.
Tunawachukulia poa na kudhani ni ma-eji-meti zetu.
Fikiria watu wana mvua 50+, Na-hawasemi? Shikamooni ma-EJI-GO 😀
Muwe mnatuamkia ohooo

Ova
 
Back
Top Bottom