implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 2,115
- 2,147
Naam,mungu amjaalie inshaalahShikamoo kaka mkubwa 🙌
Huyu Polepole atazeeka kama Mzee Kingunge alizeeka bila kudhoofika haraka kimwonekano
Naam,mungu amjaalie inshaalahShikamoo kaka mkubwa 🙌
Huyu Polepole atazeeka kama Mzee Kingunge alizeeka bila kudhoofika haraka kimwonekano
🤣🤣🤣🤣🤣Mtu mzima kamwaga mboga, kazima moto, katoboa na sufuria.....
Shikamooo🙌Amenipita miaka 5
Shikamooo 🙌 🙌Huo ndio umri wake sahihi.. Hatujapishana sana
Inategemea mkuu, kwa upande wangu Totoz zitakuwa zinasingiziwa...wanaozeeshwa na Totoz ni wale wenye allergy nazo, upande wangu totoz ni chanzo cha afya, umakini, bidii, nguvu na ni anti aging pia...long life to totozAkipunguza totoz
Jamaa asili yake ni wapi?Anakua vizuri Sana
Au alisoma memukwa.Ndio labda wenzie wanaanza shule ye alikua anachunga mbuzi
Ebu zisahihishe uweke sawa hapaHesabu zimekupiga chenga
Kwahiyo wewe ulichoona cha msingi ni umri wa Polepole tu!Wakuu, nilikua nimechill na jamaa yangu hapa tunajiuliza huyu Gwiji atakua na umri gani kutokana na muonekano wake. Sisi tulidhani anaweza kuwa kwenye 46 yrs.
Ikabidi tuingie Google tukakutana na hii kwamba ana Umri wa miaka 55.
Je, Ni kweli kwa wale wanaomjua au ni Google imeingia chaka?
Ni swala la kutaka kujua mambo tu Nothing Personal.
Huyu Mwamba huwa namkubali sana toka Enzi za Katiba mpya akiwa na Mzee warioba na Joseph Butiku, huyu jamaa ana madini mengi kichwani ni mtu hasa.
View attachment 3406236
mmmh 55 yrs,afu ni mdogo kwako?Mdogo wangu kumbe
From 4 mwk 2000 atakuwa alimaliza na twenty sio 30Ninavyojua mwamba kamaliza form 4 Azania mwaka 2000, yaani miaka 25 iliyopita, kama ana miaka 55 now manake alimaliza f4 akiwa na miaka 30???
From 4 ni twenty sio 30Ebu zisahihishe uweke sawa hapa
Duh🥺🥺🥺Kuwa wewe mke wake
Daa! 😂😂😂😅😅😅Mtu mzima kamwaga mboga, kazima moto, katoboa na sufuria.....
Vyakula vya Asili vina rutuba sana meilini, Magimbi, Viazi, mbogamboga na matunda!Shikamoo kaka mkubwa 🙌
Huyu Polepole atazeeka kama Mzee Kingunge alizeeka bila kudhoofika haraka kimwonekano
Anapenda minyanduo!Hahahaha! Mbona anaonekana mtu mnoofu sana asiye na hizo Fujo
Kamwili na kasura vinakataanaKama ana 55yrs basi ana kamwili kazuri. Nilidhani yupo 40s.