UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 10,046
- 9,341
70 nilikuwa sijui darasa la ngapi vile 🤔Huo ndio umri wake sahihi.. Hatujapishana sana
70 nilikuwa sijui darasa la ngapi vile 🤔Huo ndio umri wake sahihi.. Hatujapishana sana
Sasa mbona unafanya mambo ya kitoto humu jf?Mdogo wangu kumbe
Kuwa wewe mke wakeHivi Polepole ana mke?
Sijawahi kusikia au kumwona akiwa na familia. Sana sana tuliona ile KY alipokua anahojiwa live.
Hiyo "EDUCATION" ndiyo imechanganya:
Amesoma University of Mwalimu Nyerere Memorial Academy, University of Dar Es Salaam.
Hivi ni vyuo vikuu viwili tofauti au ni chuo kimoja?
Yaani: University of Mwalimu Nyerere Memorial Academy; na University of Dar Es Salaam.
Kama ni chuo kimoja, Chuo Kikuu kimoja kitakuwaje ndani ya Chuo Kikuu kingine?
MNMA ni zamani ikiitwa Chuo cha CCM Kivukoni.Hiyo "EDUCATION" ndiyo imechanganya:
Amesoma University of Mwalimu Nyerere Memorial Academy, University of Dar Es Salaam.
Hivi ni vyuo vikuu viwili tofauti au ni chuo kimoja?
Yaani: University of Mwalimu Nyerere Memorial Academy; na University of Dar Es Salaam.
Kama ni chuo kimoja, Chuo Kikuu kimoja kitakuwaje ndani ya Chuo Kikuu kingine?
Asante mkuu, kwa ufafanuzi huu. Kidogo ulinichanganya. Sikukumbuka kuwa Kivukoni ndiyo Mwalimu Academy siku hizi.MNMA ni zamani ikiitwa Chuo cha CCM Kivukoni.
Hivyo yapaswa kusemwa kwamba balozi Polepole kasoma UDSM na Kivukoni.
Pia hicho chuo hakijawa university bado ni chuo cha kati kiliitwa kivukoni then kinaitwa Chuo cha kumbikizi ya Mwalimu NyerereAsante mkuu, kwa ufafanuzi huu. Kidogo ulinichanganya. Sikukumbuka kuwa Kivukoni ndiyo Mwalimu Academy siku hizi.
Vitanunuliwa upya, simple tu. Kuna mambo Wala hayahitaji nguvu, ni akili tu. Nguvu inatumika kwa wajinga wajinga kama lissu.Mtu mzima kamwaga mboga, kazima moto, katoboa na sufuria.....
🤣🤣🤣🤣Halafu kalala hivi ole wako umguse
Ninavyojua mwamba kamaliza form 4 Azania mwaka 2000, yaani miaka 25 iliyopita, kama ana miaka 55 now manake alimaliza f4 akiwa na miaka 30???Ndio labda wenzie wanaanza shule ye alikua anachunga mbuzi
Ushapona?? 😁Vitanunuliwa upya, simple tu. Kuna mambo Wala hayahitaji nguvu, ni akili tu. Nguvu inatumika kwa wajinga wajinga kama lissu.
Kwa hiyo Oktoba hakuna tiki 🤣🤣Hapasongeki chochote maninaaa😂😂
Hesabu zimekupiga chengaNinavyojua mwamba kamaliza form 4 Azania mwaka 2000, yaani miaka 25 iliyopita, kama ana miaka 55 now manake alimaliza f4 akiwa na miaka 30???
Ndani n'titi nje n'titiKwa hiyo Oktoba hakuna tiki 🤣🤣