BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Kwa mujibu wa taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, mashambulizi yanayoendelea #Gaza pia, yamesababisha athari kubwa kwa Watoto ambapo kila baada ya dakika 10 Mtoto mmoja anauawa.
Guterres amesema hadi sasa takriban Watoa Huduma 89 wa UN wamepoteza maisha wakati wakiwa katika zoezi la kutoa misaada kwa waathirika wa mapigano kati ya #Israel na #Hamas.
Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Euro-Med Monitor, limesema karibu Watoto 52,500 wako hatarini kukumbwa na Njaa, Magonjwa na Vifo na Wajawazito 55,000 hawana uhakika wa Usalama wakiwemo 5,500 wanaokaribia kujifungua mwezi Novemba.
========
The number of Palestinians killed in Gaza since Hamas attacked Israel on October 7 has surpassed 10,000, according to the Palestinian Ministry of Health in Ramallah drawing from sources in the Hamas-controlled enclave.
More than 70% of those killed were children, women and the elderly, while some 24,000 people have been injured, according to the ministry.
On Monday, the Hamas-controlled health ministry in Gaza said the death toll in the enclave had risen to more than 10,000.
Some background: Israel declared war on Hamas after the Islamist militant group launched a brutal attack on October 7, killing 1,400 in Israel and kidnapping more than 240. Israel retaliated by launching an air and ground offensive on Gaza, vowing to eliminate the militant group.
Thousands more Palestinians have been killed in Gaza in the past month than during conflicts with Israel spanning the past 15 years.
The United Nations Human Rights Office said the attacks last week on Gaza’s largest refugee camp “could amount to war crimes” given the scale of casualties and destruction.
CNN