Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,068
- 12,653
Hakuna shida hapo, yeye ni kobaz Yuko kwenye hafla ya kobaz wenzake
Asiwke basi kwenye tovuti inayowahusu woteAmesema hivyo kwenye mashindano ya kuhifadhi Quran, maana yake amewalenga waislamu....
Wengine haiwahusu.
Haia shida ila wasiweke kwenye tovuti ya serikali. Hijakaa vizuriHakuna shida hapo, yeye ni kobaz Yuko kwenye hafla ya kobaz wenzake
Nimeuliza kama ni busara kuhimiza watoto wa wasome dini ya kiislam kwenye tovuti ya serikaliTuache gubu. Sijaona kosa. Alikua kwenye hadhara ya wasilamu. Hakuna kosa.
Tatizo liko wapi? Mbona Magufuli akitoa matamko makanisani?
Tanzania haina dini ila wanasiasa wetu wanataka kutupeleka huko kwa sababu ya ujinga wao tu
Kosa ni kutumia handle ya wizara ya Afya kwa jambo lake binafsiMlitaka aseme nini kwenye Kongamano wa Dini?
Me nadhani ametoa Hotuba kulingana na eneo husika.
Wanasema "Ukienda Dodoma Ishi Kulingana na wanavyoishi Wenyeji wa Dodoma"
"Vya Kaisari mpeni Kaisari na Vya Mungu Mpeni Mungu"
Kama umesoma hiyo taarifa, alikuwa ana mwakilisha Mhe. Rais kwenye tukio la Dini.Kosa ni kutumia handle ya wizara ya Afya kwa jambo lake binafsi
Hoja yako inaonyesha dhahiri kuwa wewe ni product ya 'madrasa' unless uniprove wrong Kwa kuweka ushahidi hapaUnauhakika mm nimesoma madrasa na sio hiyo elimu uliyonayo wewe?
soma vizuri, alimuwakilisha RaisiKosa ni kutumia handle ya wizara ya Afya kwa jambo lake binafsi
AmeeenMimi pia napendekeza wimbo wetu wa Taifa uimbwe kwa mfumo wa Kaswida upigiwe na ala na waimbaji waghani.
Badala ya ...Mungu ibariki...iwe Allah ibariki Zanjibaria...