Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,027
- 9,912
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ambaye pia ni mgombea pekee wa Ubunge Jimbo la Tanga Mjini, Leo Septemba 2 ameshirikiana na mgombea wa Ubunge Jimbo la Muheza, Hamis Mwinjuma au Mwana F.A katika kampeni mkoani Tanga
Katika kampeni hiyo, Ummy ameahidi kushirikiana na Mwana FA kumuonesha kote kwa kupita, vichochoro vyote ndani ya Serikali na nje ya Serikali na kumuonesha wadau wote wa maendeleo ndani na nje ya nchi.
Katika kampeni hiyo, Ummy ameahidi kushirikiana na Mwana FA kumuonesha kote kwa kupita, vichochoro vyote ndani ya Serikali na nje ya Serikali na kumuonesha wadau wote wa maendeleo ndani na nje ya nchi.