carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 520
- 1,257
FEBRUARY 14,2018 kwenye mchezo kati ya Real Madrid na PSG lilitokea tukio ambalo lilileta utata sana na wengi wakibakia na mshangao mkubwa huku likihusisha nguvu za giza (Uchawi).
ILIKUWA ni tukio la penati aliyopiga Cristiano Ronaldo 🇵🇹 kwenye ushindi wa Real Madrid wa goli 3-1 dhidi ya PSG kwenye hatua ya 16 Bora ya UEFA. Ronaldo alipiga penalti hiyo ya kimaajabu iliyopewa jina la 'Magical Penalty' na kufunga lakini kabla ya kupiga na kufunga inadaiwa mpira ulinyanyuka juu kabla ya kuguswa na mguu wa kulia wa Ronaldo 🇵🇹.
MPAKA sasa kwenye historia ya Mpira hakuna kumbukumbu zinazoonesha kuwa kuna Mchezaji mwingine ameshawahi kupiga penati ya namna hiyo (Mpira kuonekana unaelea kabla ya kupigwa).
KISA kipi cha Kimpira ambacho kimewahi kukushangaza baada ya kuliona na mpaka leo hauelewi lilitokeaje? 🤔 TUPATIE ushuhuda wako hapa hasa kwa Mpira wa Mtaani (Ndondo Cup) .
ILIKUWA ni tukio la penati aliyopiga Cristiano Ronaldo 🇵🇹 kwenye ushindi wa Real Madrid wa goli 3-1 dhidi ya PSG kwenye hatua ya 16 Bora ya UEFA. Ronaldo alipiga penalti hiyo ya kimaajabu iliyopewa jina la 'Magical Penalty' na kufunga lakini kabla ya kupiga na kufunga inadaiwa mpira ulinyanyuka juu kabla ya kuguswa na mguu wa kulia wa Ronaldo 🇵🇹.
MPAKA sasa kwenye historia ya Mpira hakuna kumbukumbu zinazoonesha kuwa kuna Mchezaji mwingine ameshawahi kupiga penati ya namna hiyo (Mpira kuonekana unaelea kabla ya kupigwa).
KISA kipi cha Kimpira ambacho kimewahi kukushangaza baada ya kuliona na mpaka leo hauelewi lilitokeaje? 🤔 TUPATIE ushuhuda wako hapa hasa kwa Mpira wa Mtaani (Ndondo Cup) .