Real Madrid Club de Fútbol (Spanish pronunciation: [reˈal maˈðɾið ˈkluβ ðe ˈfuðβol] (listen), meaning Royal Madrid Football Club), commonly referred to as Real Madrid, is a Spanish professional football club based in Madrid.
Founded on 6 March 1902 as Madrid Football Club, the club has traditionally worn a white home kit since inception. The word real is Spanish for "royal" and was bestowed to the club by King Alfonso XIII in 1920 together with the royal crown in the emblem. The team has played its home matches in the 81,044-capacity Santiago Bernabéu Stadium in downtown Madrid since 1947. Unlike most European sporting entities, Real Madrid's members (socios) have owned and operated the club throughout its history.
The club was estimated to be worth €3.8 billion ($4.2 billion) in 2019, and it was the second highest-earning football club in the world, with an annual revenue of €757.3 million in 2019. The club is one of the most widely supported teams in the world. Real Madrid is one of three founding members of La Liga that have never been relegated from the top division since its inception in 1929, along with Athletic Bilbao and Barcelona. The club holds many long-standing rivalries, most notably El Clásico with Barcelona and El Derbi Madrileño with Atlético Madrid.
Real Madrid established itself as a major force in both Spanish and European football during the 1950s, winning five consecutive European Cups and reaching the final seven times. This success was replicated in the league, which the club won five times in the space of seven years. This team, which included Alfredo Di Stéfano, Ferenc Puskás, Francisco Gento, and Raymond Kopa, is considered by some in the sport to be the greatest team of all time.In domestic football, the club has won 66 trophies; a record 34 La Liga titles, 19 Copa del Rey, 11 Supercopa de España, a Copa Eva Duarte, and a Copa de la Liga. In European and worldwide competitions, Real Madrid have won a record 26 trophies; a record 13 European Cup/UEFA Champions League titles, two UEFA Cups and four UEFA Super Cups. In international football, they have achieved a record seven club world championships.Real Madrid was recognised as the FIFA Club of the 20th Century on 11 December 2000 with 42.35% of the vote, and received the FIFA Centennial Order of Merit on 20 May 2004. The club was also awarded Best European Club of the 20th Century by the IFFHS on 11 May 2010. In June 2017, the team succeeded in becoming the first club to win consecutive Champions League titles, then made it three in a row and four in five seasons in May 2018, extending their lead atop the UEFA club rankings. As of 2020, Real Madrid are ranked third behind Bayern Munich and Barcelona.
Muda mchache ujao kutapigwa mechi za robo fainali katika Uefa Champions League.
Arsenal Vs Bayern Munich
Real Madrid Vs Man City
Karata yako unatupia kwa nani?
Klabu ya Real Madrid inadaiwa kuwa inamfuatilia beki wa pembeni wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold (25) ambaye amekuwa tegemeo katika kikosi ch Liverpool tangu Mwaka 2016.
Mkataba wake unatarajiwa kumalizika Mwaka 2025 na inadaiwa mazungumzo ya kuuongeza bado hayajafanyika.
Alexander-Arnold...
Real Madrid thought they had scored a late winner but the referee had already called for full time.
Jude Bellingham gets a red card for his reaction.
Valencia 2 vs Real Madrid 2
Hugo Druro. ⚽ Viniciu jr ⚽⚽
Roman yeremchuk⚽
Nyota wa Real Madrid, Vinicius Junior ametoa pongezi kwa Sevilla kwa kuchukua hatua haraka kumtoa na kumripoti shabiki wake kwa mamlaka kwa madai ya kumtusi kwa ubaguzi wa rangi.
Taarifa ya Sevilla baada ya mchezo baina ya timu hizo uliomalizika kwa sare ya 1-1, imeeleza "Kuna mtu alitambuliwa...
Baada ya Al Ahly kutua airport huku wakionekana wamebeba mapipa makubwa kuelekea mchezo wa dhidi ya Simba, mwandishi mkongwe wa michezo kutoka Clouds Fm, Alex Luambano apigwa na butwaa.
Sijawahi kuwaona Real Madrid wakiwa wamebeba mapipa, sasa hii Al Ahly ambayo ni miongoni mwa timu kubwa...
FEBRUARY 14,2018 kwenye mchezo kati ya Real Madrid na PSG lilitokea tukio ambalo lilileta utata sana na wengi wakibakia na mshangao mkubwa huku likihusisha nguvu za giza (Uchawi).
ILIKUWA ni tukio la penati aliyopiga Cristiano Ronaldo 🇵🇹 kwenye ushindi wa Real Madrid wa goli 3-1 dhidi ya PSG...
Real Madrid na Eden Hazard wamefikia makubaliano ya kuvunja mkataba wa Mchezaji huyo kuanzia Juni 30, 2023 huku akiwa amebakiwa na mwaka mmoja
Hazard aliyejiunga Madrid kutoka Chelsea kwa ada ya Pauni Milioni 150, amekuwa akipata majeraha ya mara kwa mara yaliyomfanya kutofikia kiwango chake...
Ubatizo ni kuzamishwa hadi usionekana, ndicho kilichofanyika kwa Real Madrid, amezamishwa! Ukiwauliza watakuambia huo moto waliobatizwa nao si wa kitoto.
Hongera Man City, ila chonde chjonde usije ukamla ngo'mbe mzima ukashindwa kumalizia mkia!
wapenzi wa soka leo ni Madrid Vs Man City wanaanza rasmi safari ya kumaliza ubishi ipi timu bora kwenye michuano ya champions league msimu huu 2023/2024.
kuna wanaosema bingwa wa champions msimu huu atatoka kwenye moja ya hizi timu za awa majini!
haya sasa washkadau tupieni hints chache kulekea...
Inadaiwa kuwa Cristiano Ronaldo amewaambia Real Madrid kuwa yupo tayari kujiunga na klabu hiyo kwa muda wa miezi sita.
Ronaldo (37) ambaye yupo mbioni kuachana na Manchester United anataka kwenda kuziba nafasi ya Karim Benzema ambaye ni majeruhi.
Man United inaendelea kujipanga kisheria ili...
Igweeee igweeee!!
Nimekaa nikitafakari jinsi gani tunakosa mawakala wa kuwavusha wachezaji wetu kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya na Marekani. Nchi yetu imebarikiwa kuwa na mchezaji mahiri sana katika soka la wanawake naye si mwingine bali ni muwindaji wa magoli, Oppah Clement.
Huyu...
Manchester United imekubali kutoa Paundi Milioni 60 (Tsh. Bilioni 167) kwa ajili ya kumsajili kiungo mkabaji wa Real Madrid, Casemiro baada ya klabu hizo kufanya mazungumzo kwa siku kadhaa.
Inaelezwa kuwa Mbrazili huyo anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya wikiendi hii na kila kitu kikienda...
Huu mpira anaoupiga Mayele sio wa Afrika hii. Kuna namna Yanga wamefanya. Haiwezekani mchezaji hatari kama Mayele achezee timu hizi za Kitanzania.
CAF na TFF waimulike Yanga na ikiwezekana waiadhibu .
Mayele analeta imbalance uwanjani.
Kulikuwa na uvumi kuwa kiungo wa Real Madrid, Eduardo Bamavinga ana umri wa miaka 19 na mwanaye ana miaka 8. Hali inayooonesha kuwa alimpata mtoto huyo akiwa na miaka 11.
Picha1: Camavinga akiwa na mtoto aliyehisiwa ni mwanaye
Picha2: Camavinga akiwa na wazazi wake na ndugu zake
Habari zenu mabibi na mabwana!
Leo ni sikukuu kubwa barani Ulaya na Duniani kwa ujumla. Ni mchezo wa Fainali ya Uefa Champions League kati ya Liverpool Vs Real Madrid.
Awali fainali hii ilipangwa ifanyike jijini Saint Petersburg, nchini Urusi. Ila kutokana na Urusi kuivamia Ukraine Uefa...
Mzuka wanajamvi,
Nilitoka kazini nimechoka kichiz ila mechi ya real na city nilipanga kuangalia. Mahrez alipofunga nikajua wazi citywanaendqa fainali. Nikaamua kulala. Sasa mda siyo mrefu nimeamka nikaamua kuangalia iliishaje. Sijawahi kushikwana mshtuko kama huu wanajamvi wenzangu. Kweli...
Afrika nzima tayari inafahamu bado dunia tu kujua, team yenye mafanikio kuliko zote afrika mashariki na kati na inayoongoza kwa ubora katika ukanda huo huku ikiwa team inayoogopwa zaidi kutoka Tanzania yaani yanga sc ina jambo lake msimu huu.
Mabingwa wa kihistoria kama ilivyotangaza rasmi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.