Umewahi kuona wine ya 1000? Njoo Dodoma

Umewahi kuona wine ya 1000? Njoo Dodoma

Mjomba Fujo

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2012
Posts
2,587
Reaction score
6,727
Baada ya kuingia duka la Mangi nimekutana na wine ya Tshs 1000 ilibidi niulize bei mara mbilimbili.

Nimependa strategy ya hawa jamaa, kutokana na ushindani mkubwa sokoni mengi yatajitokeza.

IMG20260819223257.jpg


Ujazo - 200ml
Abv 14%
 
Unakunywa fekero jombaa.
Hiyo 14% inaweza kuwa fortified wine.
Yaani washakuchanganyia na spirit za bei rahisi hizi maarufu visungura.
Natambua kupata kiwango hicho kwenye mvinyo sio mchezo, hizo fortified zipo Mingi akina dompo n etc, mada yangu imejikita kwenye bei, kwasababu tunatambua upangaji wa bei za wine mara nyingi zipo juu, hivyo msinifikirie vibaya ndugu wadau, nimeshangazwa tu na bei.

Swala la ubora na viwango ni jambo lingine.

Asande.
 
halafu jamaa katoa meno yote 32 nje anachekelea kupata kilevi chenye 14 percents Kwa buku tu anaona amesave hela kawa mjanja kumbe anakunywa sumu tu kama za Visungura
Hapana mkuu sijachekelea urahisi bali nimeshangazwa na sijawahi kuona wala kuwaza mkuu kwamba nitakuta wine imekua packaged na sticker zote kwa bei hiyo.

Nazifahamu wine vizuri na nimetumia aina nyingi za bei tofauti, ndio mana nimeshangaa hii bei.

Asande
 
Hapana mkuu sijachekelea urahisi bali nimeshangazwa na sijawahi kuona wala kuwaza mkuu kwamba nitakuta wine imekua packaged na sticker zote kwa bei hiyo.

Nazifahamu wine vizuri na nimetumia aina nyingi za bei tofauti, ndio mana nimeshangaa hii bei.

Asande
hizo ni kama zile sumu za panya unazosikia zinatangazwa mtaani. Hakuna wine hapo
 
Natambua kupata kiwango hicho kwenye mvinyo sio mchezo, hizo fortified zipo Mingi akina dompo n etc, mada yangu imejikita kwenye bei, kwasababu tunatambua upangaji wa bei za wine mara nyingi zipo juu, hivyo msinifikirie vibaya ndugu wadau, nimeshangazwa tu na bei.

Swala la ubora na viwango ni jambo lingine.

Asande.
Zipo hata za kienyeji
 
Mvinyo wa zabibu na zabibu wanalima kule, mafunzo ya kutengeneza huo mvinyo wanayapatia Sido na hata ghsrama ya mafunzo si kubwa sidhani hata laki kama inafika

Usishangae kuona hivyo na si fake mara nyingi ni ya zabibu original. Wajasiriamali wamefunzwa namna ya kutengeneza na namna ya kufunga na vifungashio hivyo

SIDO imesaidia wengi kuwafunza ujasiriamalj
 
Mvinyo wa zabibu na zabibu wanalima kule, mafunzo ya kutengeneza huo mvinyo wanayapatia Sido na hata ghsrama ya mafunzo si kubwa sidhani hata laki kama inafika

Usishangae kuona hivyo na si fake mara nyingi ni ya zabibu original. Wajasiriamali wamefunzwa namna ya kutengeneza na namna ya kufunga na vifungashio hivyo

SIDO imesaidia wengi kuwafunza ujasiriamalj
Na kilimo cha zabibu kimeongezeka, nadhani wadau wanakasumba ya bei kubwa.
 
Cha kuongezea kwa wajasiriamali na wafanyabiashara wote, kwasasa maisha ya mtanzania yamekua ya ghali sana, yeyote atakaekuja na strategy ya kupunguza bei ataliteka soko, wafanyabiashara wanachukia wachina kuingia sokoni kwasababu bei zinaporomoka, hivyo basi tusiwe greedy kama politicians, weka bei nzuri, bei nzuri haiji kimiujiza inabidi kuhangaika haswaa, kama ni machimbo utafute kwelikweli.
 
Cheep is expensive... ndiyo maana ugonjwa wa Figo unateketeza vijana ... nchi haina TBS wachina na wajasiriamali ni kujitengenezea tu bwerere
Hapana mkuu sijachekelea urahisi bali nimeshangazwa na sijawahi kuona wala kuwaza mkuu kwamba nitakuta wine imekua packaged na sticker zote kwa bei hiyo.

Nazifahamu wine vizuri na nimetumia aina nyingi za bei tofauti, ndio mana nimeshangaa hii bei.

Asande
Unakunywa fekero jombaa.
Hiyo 14% inaweza kuwa fortified wine.
Yaani washakuchanganyia na spirit za bei rahisi hizi maarufu visungura.
Ujazo mdogo. 200ML tu
 
Back
Top Bottom