Umewahi kuona wine ya 1000? Njoo Dodoma

Umewahi kuona wine ya 1000? Njoo Dodoma

Wanafikiri kutengeneza huo ni kama kuunda bomu inahitaji wataalamu wa hali ya juu. Kumbe kozo fupi Sido inatosha
Nikweli kabisa unachosema ndio mana nasema bei muda mwingine haithamishi ubora, ni kama kwenye magari, gari ina km laki 2, utalipia million 7 ila zikishushwa mpaka laki moja unalipishwa million 10 hivyo ni namna unavyopokelewa.
 
Wala sio fake
Na pia kuna ukosefu wa elimu juu ya fake/counterfeit na low quality products wengi wanachanganya sana haya mawili,

Kitu kinaweza kuwa original ila low quality na pia kinaweza kuwa counterfeit ila ubora ukawa mkubwa.

Nawapa mfano hai kabisa hapa ambao wengi hawajui au hawatambui.

Unaenda duka la viatu unataka kiatu brand ya clarks unalipia zako 120, 130, 140, 150 inategemea na duka unajiona umepata kitu, ila usichojua ni kwamba hakuna clarks ya bei hiyo😁😁 pamoja na kutokua sio Clarks yenyewe ya muingereza lakini unapata kiatu cha ngozi halisia na kinadumu vizuri tu, je wangapi wanajua haya???

Hivyo tuna mengi ya kujifunza.
 
Natambua kupata kiwango hicho kwenye mvinyo sio mchezo, hizo fortified zipo Mingi akina dompo n etc, mada yangu imejikita kwenye bei, kwasababu tunatambua upangaji wa bei za wine mara nyingi zipo juu, hivyo msinifikirie vibaya ndugu wadau, nimeshangazwa tu na bei.

Swala la ubora na viwango ni jambo lingine.

Asande.
Dom kwa mvinyo ndiyo kwenyewe.
Hiyo Italy ndogo kwa mambo ya mvinyo.
Zipo hadi ambazo siyo 'branded'. Tena pure natural, sweet toka kiwandani kwa bei rahisi tu.
Kuna mdau alikuwa ananunua analeta Dar kisha anatunza miezi 6 , mwaka na kuendelea.
Siku akifungua inakuwa bora sana.
 
Samahani,, piga vizuri hiyo chupa kuza maandishi nipate contact nimeona fursa hapo
IMG20260820121113.jpg
 
Back
Top Bottom