Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Wee baba acha kumuwehushaaa shouzzz angu,
Kwann usimuachee hata kidogo? Hata km yeye ame fall love kwako, hebu mfungie vioo,

Wee varangatii lote lile? Huna hata mshipa wa aibu wee mwanaume jamanii khaaah.
Sahivi uko na shouzzz, vipi wale vimada wako ulokutana nao ofisini na gym wanajisikiajeee?
, wee baba uwage hata na mshipa wa kujistukiaaa,
Mfyuuuuuuuh
🤣🤣🙌Mbavu Sina
Mwachieni mmeambiwa🤣
Jf jmn

We coca sahivi picha unaona zikiwekwa?
 
Wee baba acha kumuwehushaaa shouzzz angu,
Kwann usimuachee hata kidogo? Hata km yeye ame fall love kwako, hebu mfungie vioo,

Wee varangatii lote lile? Huna hata mshipa wa aibu wee mwanaume jamanii khaaah.
Sahivi uko na shouzzz, vipi wale vimada wako ulokutana nao ofisini na gym wanajisikiajeee?
, wee baba uwage hata na mshipa wa kujistukiaaa,
Mfyuuuuuuuh


Mambo yetu tuachie wenyewe coca mnaniua mbavuuu kwa kicheko hukuu 🤣🤣🤣🤣🤣!
 
yaan sahv mapenzii yametamalakiii humu ndaniii,
Wake wenza wamekuja upyaaa kwenye uzii, yaan mambo yatakua aste aste, mwendo wa kigoma na tarumbeta.

Weraaaa weraaaaa.
Yaani jmn 🙌🙌🙌
Mambo ni 🔥🔥🔥

🤣🤣🤣Mbona kumekucha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom