Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,877
- 37,667
🤣🤣🙌Mbavu SinaWee baba acha kumuwehushaaa shouzzz angu,
Kwann usimuachee hata kidogo? Hata km yeye ame fall love kwako, hebu mfungie vioo,
Wee varangatii lote lile? Huna hata mshipa wa aibu wee mwanaume jamanii khaaah.
Sahivi uko na shouzzz, vipi wale vimada wako ulokutana nao ofisini na gym wanajisikiajeee?
, wee baba uwage hata na mshipa wa kujistukiaaa,
Mfyuuuuuuuh
Mwachieni mmeambiwa🤣
Jf jmn
We coca sahivi picha unaona zikiwekwa?


Mbavu Sina