Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Yaani ,nimekuwa mvivu kukatika chitchat,napita hili wala lile
Nashangaa Bossledi wetu umerudisha majeshi kwa nguvu kwa mtu uliyesema aliambukiza watu gono.

Nikashtuka,Ina maana mjeda umempiga chini Tena pamoja na misamaha na Toba zote ulizoomba!?

Ama mnaandaa sinema zetu wajameni😁

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Mbavuuu Zangu mimiiiii Nacheka hadi bandama inakaukaaaaa!🤣🤣🤣🤣!

Anne 🐒!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom