Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,871
- 37,644
Kilitokea nn?Nyie na hekaheka za vocha hamjakoma tu????🙌🙌🙌🤠🤠🤠!
Hizi za kuweka hapa nazo Zina shida?
🙄Basi jf Kuna mambo
Kilitokea nn?Nyie na hekaheka za vocha hamjakoma tu????🙌🙌🙌🤠🤠🤠!
😅🙌🏃🏃🏃
🤣🤣🤣JiongezeVocha inakujaje?😂
Imeisha hiyo🤣🤣🤣Jiongeze
Mtoto una guu 😋 na hicho kikuku hapo chini sasa kama mnajuaga vileee mkishakuwa na miguu yenu ya bia 😁Kila picha ya mlonjo nilikuwa nakukumbuka 🤣
Mahiiiii
Imekuwaje kwani leo? Ama ndo nishaanza kuyumba![]()
Hapana nilikumbuka lile sekeseke tu mama pasta tuendelee kutupia 🤳Kilitokea nn?
Hizi za kuweka hapa nazo Zina shida?
🙄Basi jf Kuna mambo
Nishadaka bolt..ndio njoo masaki unilishe hiloguu labia lakudanload
Ngoja niyeyuke mahi 🤣🤣Unachokitafuta soon utakipata
Mie simo, bora wakuny’anganye simu tuu
Okay🤣🤣Hapana nilikumbuka lile sekeseke tu mama pasta tuendelee kutupia 🤳
😅😅😜Alooooo
Sawa babu
We tulia,, shida yako si nifike? Basi tuliza komweko kutoka chuga hadi dar unatumia bolt?
Nani hao wanasema vibaya..... 😁Si uwa mnatusema vibaya na hizo ankle chain? Mnasahau huku Kaskazini ni culture..
Nilikuwepo.. ngoja niendelee kulewa
View attachment 2853966
Kuna Jf ladies humu wana Gono tena.
U.T.I sugu yenyewe tishio. La. Mmenitisha sana![]()



kumekuchaaaaah!!!Kumekucha 🤣🤣Kuna Jf ladies humu wana Gono tena.
U.T.I sugu yenyewe tishio. La. Mmenitisha sana![]()
Yaani ,nimekuwa mvivu kukatika chitchat,napita hili wala lile
Nashangaa Bossledi wetu umerudisha majeshi kwa nguvu kwa mtu uliyesema aliambukiza watu gono.
Nikashtuka,Ina maana mjeda umempiga chini Tena pamoja na misamaha na Toba zote ulizoomba!?
Ama mnaandaa sinema zetu wajameni😁
🔥🔥🔥🔥kumekuchaaaaah!!!
Hebu selfika basi Bossledi!
Mbavuuu Zangu mimiiiii Nacheka hadi bandama inakaukaaaaa!!
Anne!



