Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Wee baba acha kumuwehushaaa shouzzz angu,
Kwann usimuachee hata kidogo? Hata km yeye ame fall love kwako, hebu mfungie vioo,

Wee varangatii lote lile? Huna hata mshipa wa aibu wee mwanaume jamanii khaaah.
Sahivi uko na shouzzz, vipi wale vimada wako ulokutana nao ofisini na gym wanajisikiajeee?
, wee baba uwage hata na mshipa wa kujistukiaaa,
Mfyuuuuuuuh
Umeshaambiwa "Hayanaga mwongozo" kwahiyo ukae kwa kutulia Mjukuu 🤗
 
Kupitia huu uzi,nimebahatika kujua baadhi ya watu walivyo na maumbo yao,mfano@Depal,siku zote nilijua ni kadada flani hivi,kembamba... kumbe ni zigo hasa....
 
Mmeanza na ma dramaa yenuu, asee sahiv mtafute uzi wa kwenda kugombaniaa huko, na huyo basha wenu smart.

Hatutakii humu varangatiii tenaa.
Weka mafotoooii🤳🤳🤳🤳🤳🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom