Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Yaani ,nimekuwa mvivu kukatika chitchat,napita hili wala lile
Nashangaa Bossledi wetu umerudisha majeshi kwa nguvu kwa mtu uliyesema aliambukiza watu gono.

Nikashtuka,Ina maana mjeda umempiga chini Tena pamoja na misamaha na Toba zote ulizoomba!?

Ama mnaandaa sinema zetu wajameni😁
Wizo mbavu zangu jmn
🤣🤣🤣🤣🤣🙌
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Mbavuuu Zangu mimiiiii Nacheka hadi bandama inakaukaaaaa!🤣🤣🤣🤣!

Anne 🐒!
Huyi @St Anne ni mpana sana aweke orodha ya hao watu watu waende kwa kunyata😂😂
 
Jamanii nasikia kuna ubuyu hapa, maana nilikua buzzy na boxing, mara napewa in4 jf kumewaka selfika 2 imeanza drama za zaman, ndo huu winja winja, hebu mnijuze kulikoniiiii
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!

Wakikujibu nitag 🤠🤠🤠🤠!

Uzi hautaki story huu nawakumbusha tu mieeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom