Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,749
- 28,143
Napeleka status whatsap au usiku sana na Mimi naiweka tena hapa hapa kutoa watu roho juuthen upost wapi
Napeleka status whatsap au usiku sana na Mimi naiweka tena hapa hapa kutoa watu roho juuthen upost wapi
🤣🤣🤣🤣Napeleka status whatsap au usiku sana na Mimi naiweka tena hapa hapa kutoa watu roho juu
TupiaMmh km nilifuta hivi
🙄Imekuwaje Tena
Btw 🙏🙏
Miss Coin ConnoisseurNashukuru Mungu zawadi zangu ni za miamala tu kwakweli![]()
Jmn😅Miss Coin ConnoisseurView attachment 2853817
Hbday dear japo nimechelewaNashukuru Mungu zawadi zangu ni za miamala tu kwakweli 🤣
Asante kipenz nakusubir nitupie😀😀Cousin Missy Gf Aaliyyah cocastic binti kiziwi Babu Grahams Mzee wa kupambania Omulasil Zulu man
Ms eyes nimeona blessings yako babygal looking gorgeous as usual
Tayana-wog birthday girlie Happy birthday dear . May you love longer and all your dreams come true
Aaliyahh na cousin Salamu zenyuuu mezipata sijatulia I will bless you later kama nipatata muda wa kupiga dears
Enjoy your day wapendwa cheers🥂🍾
😀😀😀😀Kuna nn kwaniHao sio wa kwanza kurudiana kama ni kweli.
Mwaka 1969 Mzee Ngachau aliyekuwa jirani yetu barabara ya 7, aliachana na Mke wake Bi Mwantumu na kila mmoja akashika njia yake.
Lakini wawili hawa, walikuja kutushangaza walipokuja kurudiana Mwaka 1977.
Kutokea hapo, sisi Wazee tulikuja na Msemo wetu kuwa "Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake" bila kusahau ule msemo wa "Mavi ya kale hayanuki"🤗
Mama masanja
Nipo hapaaa haya nibles nasubiria 🙇Asante kipenz nakusubir nitupie😀😀
Nipo hapaaa haya nibles nasubiria 🙇Asante kipenz nakusubir nitupie😀😀
Wajuvi zaidi Wanakuja kukupa mwongozo 😁🤠!😀😀😀😀Kuna nn kwani
😀😀😀Dada hebu nipe mwongozoWajuvi zaidi Wanakuja kukupa mwongozo 😁🤠!
Mi fanya unibles tu nasubiria hapa
Mi mwenyewe Sijui madam wasubiri wanakuja🐒!😀😀😀Dada hebu nipe mwongozo
Afanye chapNipo hapaaa haya nibles nasubiria 🙇
Asante kipenzi 😍🙏🙏Hbday dear japo nimechelewa