Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

84b4f4eddadfe3e6f709d99dc828c5ad.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣😍
Sawa Babu hizi siku 2 sijapita hapo

Na mpango wa kwenda movie leo
Kama nitapata Mjukuu wa kunisaidia kuvuka barabara leo nami nitakuwa huko mjini.

Ukimuona Mzee mwenye mvi nyingi nyeupe hadi kidevuni na mkongojo wake pembeni ujue ni Mimi Babu yenu 😜
 
Kweli mapenzi ya watu sio ya kuyainglia aisee. Smart911 hakosei anaposemaga;

Mambo yao waachie wenyewe
Hao sio wa kwanza kurudiana kama ni kweli.

Mwaka 1969 Mzee Ngachau aliyekuwa jirani yetu barabara ya 7, aliachana na Mke wake Bi Mwantumu na kila mmoja akashika njia yake.

Lakini wawili hawa, walikuja kutushangaza walipokuja kurudiana Mwaka 1977.

Kutokea hapo, sisi Wazee tulikuja na Msemo wetu kuwa "Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake" bila kusahau ule msemo wa "Mavi ya kale hayanuki"🤗
 
Hao sio wa kwanza kurudiana kama ni kweli.

Mwaka 1969 Mzee Ngachau aliyekuwa jirani yetu barabara ya 7, aliachana na Mke wake Bi Mwantumu na kila mmoja akashika njia yake.

Lakini wawili hawa, walikuja kutushangaza walipokuja kurudiana Mwaka 1977.

Kutokea hapo, sisi Wazee tulikuja na Msemo wetu kuwa "Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake" bila kusahau ule msemo wa "Mavi ya kale hayanuki"🤗
Nyie wazee mlikuwa na busara sana kweli Wagombanao ndio wapatanao
 
Kuna pisi moja hivi imeweka picha halafu amefuta, japo nimemuona…..

JF kuna vitu bwana! 😍😍
Kuna Kijana wangu wa kuitwa Z-Anto pamoja na kukuimbia kote kule nasikia ulimpiga chini eti Mahari haitoshi.

Sasa Babu mtu nimejipanga kukuletea mahari upya, tuambie tukuletee ng'ombe wa ngapi Wazee tumalize kazi 😜

Heri ya Krismasi Mkuu 🥂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom