Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Kuna Kijana wangu wa kuitwa Z-Anto pamoja na kukuimbia kote kule nasikia ulimpiga chini eti Mahari haitoshi.

Sasa Babu mtu nimejipanga kukuletea mahari upya, tuambie tukuletee ng'ombe wa ngapi Wazee tumalize kazi 😜

Heri ya Krismasi Mkuu 🥂
Kwa kweli Babu-kijana mwakani tumalize kazi.

Vijana wanazingua sana, mimi na Z-anto mwalimu wa mathe alituambia hatufiki mbali kwani tumefikaaa? Hatujafika kokote🤣🤣

Kwasababu Z-anto alitoa ngombe 10 kwakuwa nilikua kigori, kwa sasa miaka imeenda sana, ngombe wawili tu na hao ngombe napokea mwenyewe usiwapelekee wajomba. 😝
 
Kwa kweli Babu-kijana mwakani tumalize kazi.

Vijana wanazingua sana, mimi na Z-anto mwalimu wa mathe alituambia hatufiki mbali kwani tumefikaaa? Hatujafika kokote🤣🤣

Kwasababu Z-anto alitoa ngombe 10 kwakuwa nilikua kigori, kwa sasa miaka imeenda sana, ngombe wawili tu na hao ngombe napokea mwenyewe usiwapelekee wajomba. 😝
Kwa kuwa sisi ni wapenzi wa hiyo rangi ya Dubai, tutaleta ng'ombe zote 2 kama ulivyosema pamoja na ng'ombe ndama kama nyongeza.

Waambie waanze maandalizi ya kutupokea wageni 🤗
 
Ngoja vijana waelewane kwanza,sitaki waishie hapa...

Sijaona aiseeh,unanificha au hutaki baraka za kaka?😅

Kuna kijana umeanza kugusanisha nae midomo tayari?
Mmeanza kuunganishana kihisia eh..
Unafika mbali!!! 😂😂😂

Bado tupo stage za mwanzo kabisa, afu mi kijana sitaki…. Mi mwenyewe muhenga!
 
Unafika mbali!!! 😂😂😂

Bado tupo stage za mwanzo kabisa, afu mi kijana sitaki…. Mi mwenyewe muhenga!
Hiyo ndio stage nzuri ya kula raha sasa,inatakiwa mpange trip ya kwenda kufahamiana zaidi au unaonaje?..

Sio mbaya ni chaguzi nzuri kabisa,naomba kumfahamu shemeji maana nisijepishana nae huku vichochoroni tandale nikamkaba na kumuibia.😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom