Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
17 Akapokea kikombe, akashukuru,akasema, Twaeni hiki, mgawanye ninyi kwa ninyi.
19 Akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema,[Huu ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu;fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.
20 Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.]
Luke 22
19 Akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema,[Huu ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu;fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.
20 Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.]
Luke 22