Umesoma vitabu gani mwaka 2018?

Mm nimesoma vingi hata cjui niweke kipi
Wakuu ni mwisho wa mwaka tutumie hizi siku zimebaki kujitathmini usomaji wetu kama ilivyo deaturi yetu.

Mi usomaji wangi haukuwa mzuri. Nimesoma vitabu vitatu na vingine viwili sikumaliza.
1.A god who hate. Hiki kuna member Alisina niliona amekiupload.Nikakipakua na kikanivutia kusoma. Huyu mama muandishi anaeleza maisha ya mwanamke wa kiislamu na magumu yake. Pia anashutumu imani hiyo. Kinavutia na rahisi kusoma.

View attachment 969204

2. 1984
Hiki kitabu nilianza kusoma muda ila mwaka huu nikashawishika kukimaliza. Ni fiction lakini kipo serious sana. Kinazungumzia ubaya wa ujamaa, serikali ya mabavu, uminyaji wa uhuru nk.Wakati wa Nyerere kilipigwa Marufuku sijui kama wamekifungulia.
View attachment 969669
3.The Capitalist Nigger. Haka kakitabu kuna mdau alikaweka humu ndani. Ni katkitabu kafupi kama page 50. Kanazungumzia hali ya mtu mweusi hasa kiucgumi na kielimu. Kana idea nzuri ya jinsi mtu mweusi anaweza kukomboka. Ila kaba lugha kali.View attachment 969670

4.Kitabu changu.Niliandika na kuchapa kakitabu mwaka 2013. Huwa karibu kila mwaka nakasoma. Na kila nikikasoma napata kitu kipya!!!

5.The man who mistook his wife for a hat.
Hiki kitabu nilianza zamani kusoma lakini sijakimaliza. Ni kitabu kifupi na kinavutia sana.Kinazungumzia wagonjwa wa akili wenye matatizo adimu na ya kushangaza.
View attachment 969679

6.The politics book.
Haka kakitabu kanaelezea historia ya siasa toka zama za zamani kabisa. kanaeleza kwa njia rahisi na fupi. Ni kazuri ila sijakamaliza bado.
View attachment 969683

Malcom Lumumba , Kiranga Wick mitale na midimu Nalendwa zitto junior MSEZA MKULU et al
 
Mwaka huu nilijipa muda wa kutosha kusoma biographies na vitabu kuhusu teknolojia inavyokwenda kasi. Nilisoma vitabu vifuatavyo;

1. Option B by Sheryl Sandberg

2. Lean In by Sheryl Sandberg

3. The Future of Leadership: The rise of Automation, Robotics and Artificial Intelligence by Brigette T. Hyacinth

4. The Engineer: Follow Elon Musk on a journey from South Africa to Mars by Erik Nordeus

5. This Child Will Be Great: Memoir of a Remarkable Life by Africa's First Woman President by Ellen Johnson Sirleaf

6. Half of a Yellow Sun - Chimamanda Adichie

7. Americanah - Chimamanda Adichie

8. Too Big to Fail - Andrew R. Working

9. When Breath Becomes Air - Paul Kalanithi

10. Your Happiness Was Hacked: Why Tech Is Winning the Battle to Control Your Brain--and How to Fight Back by Alex Salkever and Vivek Wadhwa

11. A Life in Science - Michael White & John Gribbin (Hiki nafungia mwaka)

12. The Future of the Professions: How Technology Will Transform the Work of Human Experts by Daniel Susskind and Richard Susskind

13. What They Teach You at Harvard Business School by Philip Delves

14. The Road to Character - David Brooks (Cha kumalizia Mwaka)

15. The Lean Startup by Eric Ries

16. Time, Talent and Energy - Michael Mankins & Eric Garton.

Vitabu hivi 16 vimeniongezea mtazamo mpya hasa juu ya technolojia na utimizaji wa ndoto tulizonazo.

Kwa wajasiliamali ningeshauri wasome The Learn Startup, Professionals na walioajiriwa nawashauri wasome The Future of Leadership (No. 3 on the list) na The Future of the Professions (No. 12). Vitabu husika hupanua fikra na mtazamo juu ya tulipo na tuendapo.

Mwisho, sikuwahi kujua kuwa Waafrika waandika novels nzuri sana. Chimamanda anaandika hadithi za Kiafrika nzuri, zinazovutia na hazichoshi. Badala ya kusoma hadithi za akina James H. Chase jaribu kusoma za nyumbani pia.
 
Nimesoma kitabu kimoja tu mwaka mzima ila kimebadilisha sana mtazamo wangu kiuchumi. Ni kitabu kizuri

IMG_2378.JPG

IMG_2379.JPG
 
Ideally ilibidi nisome vitabu 24 mwaka jana nilisoma vitabu 18 hamna kitu muhimu katika maisha kama vitabu aisee ni moja ya vitu najivunia sana mwaka huu..
1.Fire and fury at white house-Michael wolf
2.SHUSHUSHU-Evarist chahali
3.The virgin way-Sir Richard branson
4.Green book-Miramar Gadaf (manifesto)
5.Governance for growth of india-P.J.Abdul Kalam
6.A brief history of time-Stephen hawking (didn't Finish too big and complicated🧐🧐
7.Born a crime-Trevo noah (Must read)
8.The element-Ken Robinson
9.Start up nation-(In and out about Israel start up industry -Dan senor-Good read)
10.Maswali 40 majibu 40 kwa mh january makamba-padre karugendo (Every concerned citizen should read this)
11.Eat that frog-brian tracy (everybody should read this it has helped me a lo with my job)
12.48 laws of power-Robert green (too powerful too deep/must definitely read book)
13.The smartest kids in the world-Amanda Ripley (Still on it dedicate my baby dedication) ..need to cover 30 books this year

FROM JULY
14.THE FOUR-The hidden DNA of the four Amazon,Apple,Facebook and google
15.Red notice-Bill Browder
16.48 laws of power-Robert Green
17.The Third door-Alex Banayan
18.Elon Musk-Ashlee vance
19.Forest grump-Winston Groom
20.The king of oil(secret life of marc rich)-
21.I cant make this up(life reason)-Kevin hart
22.The undisputed truth(my autobiography-Mike tyson
23.Alibaba(The house that Jack ma built)-Duncan clark
24.Black priviladge(opportunity comes to those who create it)-@cthagod
25.Why men love ...b..ches-Sherry argov
26.The everything store(jeff bezzos and age of amazon)-brad stone
27.From the third word to first(singapore story)-Lee kuan yew
28.venture deals-
29.
30.
 
Mwaka huu nilijipa muda wa kutosha kusoma biographies na vitabu kuhusu teknolojia inavyokwenda kasi. Nilisoma vitabu vifuatavyo;

1. Option B by Sheryl Sandberg

2. Lean In by Sheryl Sandberg

3. The Future of Leadership: The rise of Automation, Robotics and Artificial Intelligence by Brigette T. Hyacinth

4. The Engineer: Follow Elon Musk on a journey from South Africa to Mars by Erik Nordeus

5. This Child Will Be Great: Memoir of a Remarkable Life by Africa's First Woman President by Ellen Johnson Sirleaf

6. Half of a Yellow Sun - Chimamanda Adichie

7. Americanah - Chimamanda Adichie

8. Too Big to Fail - Andrew R. Working

9. When Breath Becomes Air - Paul Kalanithi

10. Your Happiness Was Hacked: Why Tech Is Winning the Battle to Control Your Brain--and How to Fight Back by Alex Salkever and Vivek Wadhwa

11. A Life in Science - Michael White & John Gribbin (Hiki nafungia mwaka)

12. The Future of the Professions: How Technology Will Transform the Work of Human Experts by Daniel Susskind and Richard Susskind

13. What They Teach You at Harvard Business School by Philip Delves

14. The Road to Character - David Brooks (Cha kumalizia Mwaka)

15. The Lean Startup by Eric Ries

16. Time, Talent and Energy - Michael Mankins & Eric Garton.

Vitabu hivi 16 vimeniongezea mtazamo mpya hasa juu ya technolojia na utimizaji wa ndoto tulizonazo.

Kwa wajasiliamali ningeshauri wasome The Learn Startup, Professionals na walioajiriwa nawashauri wasome The Future of Leadership (No. 3 on the list) na The Future of the Professions (No. 12). Vitabu husika hupanua fikra na mtazamo juu ya tulipo na tuendapo.

Mwisho, sikuwahi kujua kuwa Waafrika waandika novels nzuri sana. Chimamanda anaandika hadithi za Kiafrika nzuri, zinazovutia na hazichoshi. Badala ya kusoma hadithi za akina James H. Chase jaribu kusoma za nyumbani pia.
umetisha boss nmependa vitabu vyako ntaanza navyo mwakani ideally ni vitabu vitatu kwa mwezi mwakani....ukitaka mwelewa zaidi elon musk kisome Elon Musk-Ashlee vance ni his official autobioghraphy ambayo aliruhusu
 
umetisha boss nmependa vitabu vyako ntaanza navyo mwakani ideally ni vitabu vitatu kwa mwezi mwakani....ukitaka mwelewa zaidi elon musk kisome Elon Musk-Ashlee vance ni his official autobioghraphy ambayo aliruhusu
Shukrani ntakitafuta hiki.
 
Ideally ilibidi nisome vitabu 24 mwaka jana nilisoma vitabu 18 hamna kitu muhimu katika maisha kama vitabu aisee ni moja ya vitu najivunia sana mwaka huu..
1.Fire and fury at white house-Michael wolf
2.SHUSHUSHU-Evarist chahali
3.The virgin way-Sir Richard branson
4.Green book-Miramar Gadaf (manifesto)
5.Governance for growth of india-P.J.Abdul Kalam
6.A brief history of time-Stephen hawking (didn't Finish too big and complicated🧐🧐
7.Born a crime-Trevo noah (Must read)
8.The element-Ken Robinson
9.Start up nation-(In and out about Israel start up industry -Dan senor-Good read)
10.Maswali 40 majibu 40 kwa mh january makamba-padre karugendo (Every concerned citizen should read this)
11.Eat that frog-brian tracy (everybody should read this it has helped me a lo with my job)
12.48 laws of power-Robert green (too powerful too deep/must definitely read book)
13.The smartest kids in the world-Amanda Ripley (Still on it dedicate my baby dedication) ..need to cover 30 books this year

FROM JULY
14.THE FOUR-The hidden DNA of the four Amazon,Apple,Facebook and google
15.Red notice-Bill Browder
16.48 laws of power-Robert Green
17.The Third door-Alex Banayan
18.Elon Musk-Ashlee vance
19.Forest grump-Winston Groom
20.The king of oil(secret life of marc rich)-
21.I cant make this up(life reason)-Kevin hart
22.The undisputed truth(my autobiography-Mike tyson
23.Alibaba(The house that Jack ma built)-Duncan clark
24.Black priviladge(opportunity comes to those who create it)-@cthagod
25.Why men love ...b..ches-Sherry argov
26.The everything store(jeff bezzos and age of amazon)-brad stone
27.From the third word to first(singapore story)-Lee kuan yew
28.venture deals-
29.
30.
Tisha sana mkuu
Hicho fire and Fury alikiwekaga humu mkuu Malcom. Nilikisoma kama page 70 hivi nikakiacha.

Hicho start up nation kinaonekana kitamu sana. Vipi hicho cha Trevor Noah, kipp funny!?.
Hongera sana mkuu umeniinspire. Mwaka ujao Ntajitahidi kusoma.
 
Tisha sana mkuu
Hicho fire and Fury alikiwekaga humu mkuu Malcom. Nilikisoma kama page 70 hivi nikakiacha.

Hicho start up nation kinaonekana kitamu sana. Vipi hicho cha Trevor Noah, kipp funny!?.
Hongera sana mkuu umeniinspire. Mwaka ujao Ntajitahidi kusoma.
Profesa shivji aliwahi sema
Read while riding Read while queueing Read in the small room Read in the big room Read in all rooms Make room for reading. ndo kitu nilichofanya mwaka huu nilihakikisha hadi nmenunua tablet kwa ajili ya vitabu imesababisha nmeacha hadi kuangalia tv mwaka mzima jiwekee malengo vitabu ni elimu tosha kufikia lengo lolote ulilojiwekea
 
Mwaka huu nilijipa muda wa kutosha kusoma biographies na vitabu kuhusu teknolojia inavyokwenda kasi. Nilisoma vitabu vifuatavyo;

1. Option B by Sheryl Sandberg

2. Lean In by Sheryl Sandberg

3. The Future of Leadership: The rise of Automation, Robotics and Artificial Intelligence by Brigette T. Hyacinth

4. The Engineer: Follow Elon Musk on a journey from South Africa to Mars by Erik Nordeus

5. This Child Will Be Great: Memoir of a Remarkable Life by Africa's First Woman President by Ellen Johnson Sirleaf

6. Half of a Yellow Sun - Chimamanda Adichie

7. Americanah - Chimamanda Adichie

8. Too Big to Fail - Andrew R. Working

9. When Breath Becomes Air - Paul Kalanithi

10. Your Happiness Was Hacked: Why Tech Is Winning the Battle to Control Your Brain--and How to Fight Back by Alex Salkever and Vivek Wadhwa

11. A Life in Science - Michael White & John Gribbin (Hiki nafungia mwaka)

12. The Future of the Professions: How Technology Will Transform the Work of Human Experts by Daniel Susskind and Richard Susskind

13. What They Teach You at Harvard Business School by Philip Delves

14. The Road to Character - David Brooks (Cha kumalizia Mwaka)

15. The Lean Startup by Eric Ries

16. Time, Talent and Energy - Michael Mankins & Eric Garton.

Vitabu hivi 16 vimeniongezea mtazamo mpya hasa juu ya technolojia na utimizaji wa ndoto tulizonazo.

Kwa wajasiliamali ningeshauri wasome The Learn Startup, Professionals na walioajiriwa nawashauri wasome The Future of Leadership (No. 3 on the list) na The Future of the Professions (No. 12). Vitabu husika hupanua fikra na mtazamo juu ya tulipo na tuendapo.

Mwisho, sikuwahi kujua kuwa Waafrika waandika novels nzuri sana. Chimamanda anaandika hadithi za Kiafrika nzuri, zinazovutia na hazichoshi. Badala ya kusoma hadithi za akina James H. Chase jaribu kusoma za nyumbani pia.
Big up sana mkuu. Nimevutiwa na usomaji wako. Itabidi nitafute kitabu hata kimoja cha Chimamanda nikisome mwakani.
 
Wakuu ni mwisho wa mwaka tutumie hizi siku zimebaki kujitathmini usomaji wetu kama ilivyo deaturi yetu.

Mi usomaji wangi haukuwa mzuri. Nimesoma vitabu vitatu na vingine viwili sikumaliza.
1.A god who hate. Hiki kuna member Alisina niliona amekiupload.Nikakipakua na kikanivutia kusoma. Huyu mama muandishi anaeleza maisha ya mwanamke wa kiislamu na magumu yake. Pia anashutumu imani hiyo. Kinavutia na rahisi kusoma.

View attachment 969204

2. 1984
Hiki kitabu nilianza kusoma muda ila mwaka huu nikashawishika kukimaliza. Ni fiction lakini kipo serious sana. Kinazungumzia ubaya wa ujamaa, serikali ya mabavu, uminyaji wa uhuru nk.Wakati wa Nyerere kilipigwa Marufuku sijui kama wamekifungulia.
View attachment 969669
3.The Capitalist Nigger. Haka kakitabu kuna mdau alikaweka humu ndani. Ni katkitabu kafupi kama page 50. Kanazungumzia hali ya mtu mweusi hasa kiucgumi na kielimu. Kana idea nzuri ya jinsi mtu mweusi anaweza kukomboka. Ila kaba lugha kali.View attachment 969670

4.Kitabu changu.Niliandika na kuchapa kakitabu mwaka 2013. Huwa karibu kila mwaka nakasoma. Na kila nikikasoma napata kitu kipya!!!

5.The man who mistook his wife for a hat.
Hiki kitabu nilianza zamani kusoma lakini sijakimaliza. Ni kitabu kifupi na kinavutia sana.Kinazungumzia wagonjwa wa akili wenye matatizo adimu na ya kushangaza.
View attachment 969679

6.The politics book.
Haka kakitabu kanaelezea historia ya siasa toka zama za zamani kabisa. kanaeleza kwa njia rahisi na fupi. Ni kazuri ila sijakamaliza bado.
View attachment 969683

Malcom Lumumba , Kiranga Wick mitale na midimu Nalendwa zitto junior MSEZA MKULU et al
Mkuu hicho kitabu namba 5 nakipataje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom