Umesoma vitabu gani mwaka 2020?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,890
Habari wakuu? Ni mwisho wa mwaka. Tutafakari usomaji wetu wa mwaka huu. Vitabu vingi nimevijua kupitia michango ya members humu.

Mi nimesoma vitabu vichache tu, sikuwa na usomaji mzuri.

1. Screw business as usual cha Richard Branson.

Anaeleza jinsi biashara zinaweza kubadilika na kuweka jamii kwanza badala ya faida kwanza. Anasema biashara zinazoweka faida mbele zitapotea. Anaeleza pia jinsi misaada inavyopaswa kubadilika na kulenga ujasiriamali unaotatua matatizo ya kijamii badala ya kuwapa tu watu vitu. Kina mifano mingi kutoka Africa. Nilienjoy kukisoma.

2. Surveillance valley: The secret military history of the internet cha Yasha Levine.

Kitabu kizuri sana. Kinaeleza jinsi internet ilivyoanza na jinsi toka mwanzo ilikuwa ni chombo cha upelelezi.

3. David and Goliath cha Malcom Gladwell. Hiki sikukimaliza. Kilikuwa kimepondwa sana kwenye reviews lakini nilienjoy mpaka nilipofikia. Anazungumza mambo yanayofanya underdogs wa-shine.

4. The country of the blind cha HG Wells.
Jamaa anaenda nchi ya vipofu watupu.

5. The pearl cha John Steinbeck.

Jamaa masikini anapata lulu kubwa sana.

6. Hichhiker guides to the galaxy. Bado nasoma hii series ya vichekesho. PAULA unamkumbuka Bowerick wowbagger the infinitely prolonged?

7. Adili na Nduguze cha Shaaban Robert. Nimeisoma tena hii hadithi.

8. Njama cha Musiba.

9. Naandika Novel ipo kama 90%. Naona kama iko poa sana.

Vipi wewe, umesoma vitabu gani mwaka 2020?
 
Vitabu nilivyosoma 2020
KITABU MWANDISHI
The 48 Laws of PowerRobert Greene
Killing the Deep State: The Fight to Save President TrumpJerome Corsi
Hatima ya Tanzania na Uongozi WetuJ. K. Nyerere
KigugumiziJaphet Nyang'oro
KivuliE. Musiba
MdhaminiJaphet Nyang'oro
PatashikaJaphet Nyang'oro

Ninachoendelea nacho kwa sasa ni
How to Analyze People: Manipulation of the Human Mind and Strategies to Quickly Figure Out Body LanguageDaniel Spad
 
Vitabu nilivyosoma 2020
KITABU MWANDISHI
The 48 Laws of PowerRobert Greene
Killing the Deep State: The Fight to Save President TrumpJerome Corsi
Hatima ya Tanzania na Uongozi WetuJ. K. Nyerere
KigugumiziJaphet Nyang'oro
KivuliE. Musiba
MdhaminiJaphet Nyang'oro
PatashikaJaphet Nyang'oro

Ninachoendelea nacho kwa sasa ni
How to Analyze People: Manipulation of the Human Mind and Strategies to Quickly Figure Out Body LanguageDaniel Spad
Huyo Japhet Nyang'oro yupo vizuri? Sijawahi msoma, nimeona akitajwa.
 
Huyo Japhet Nyang'oro yupo vizuri? Sijawahi msoma, nimeona akitajwa.
Yuko vizuri mkuu, ameandika vingi sana mwaka jana nilisoma vitabu vyake vingine vitatu: Saa 72 za kufa na kupona, Operesheni PANAMA an Love & The Leftovers.

Yuko vizuri sana.
 
Vitabu nilivyosoma 2020
KITABU MWANDISHI
The 48 Laws of PowerRobert Greene
Killing the Deep State: The Fight to Save President TrumpJerome Corsi
Hatima ya Tanzania na Uongozi WetuJ. K. Nyerere
KigugumiziJaphet Nyang'oro
KivuliE. Musiba
MdhaminiJaphet Nyang'oro
PatashikaJaphet Nyang'oro

Ninachoendelea nacho kwa sasa ni
How to Analyze People: Manipulation of the Human Mind and Strategies to Quickly Figure Out Body LanguageDaniel Spad
Japhet is a good storywriter, but poor storyteller.
 
Baadhi ya vitabu nilivyosoma mwaka 2020

1. Breakthrough Advertising by Eugene Schwartz

2. The Boron Letter by Gary Halbert

3. Never Split the Difference by Chris Voss

4. Traffic Secrets by Russell Brunson

5. Small Business Big Money by Akin Alabi

6. Sell Your Brain by Ronald Nzimora

7. From Mediocrity to Millionaire by Jay Abraham

8. The Ultimate Guide to Sale letters by Dan Kennedy

9. Tested Advertising Methods by John Caples

10. The Art of Deal by Donald J Trump

11. The Robert Collier Letter Book by Robert Collier

12. The 7 Steps to Freedom by Ben Suarez

13. The Fastlane Millionaire by MJ DeMarco

14. Great Leads by Michael Masterson

15. The 7 Figures Copy by Sean Vosler

16. The Halbertizing Method II by Bond Halbert

17. Convert by Frank Kern

18. The Underdog Advantage by Dean Graziosi

19. High Status by Jason Capital

20. XBOOK by Jay Abraham

21. 12 Months Millionaire by James Vincent

22. The NB Guide of Marketing to Affluents by Dan Kennedy

23. Trump University Branding 101 by Donald Sexton & Donald Trump

24. The Candlesticks Trading Bible by

25. No B.S Guide to Powerful Presentations by Dan Kennedy

26. Official Get Rich Guide to Info Marketing by Dan Kennedy

27. Trend Following by Michael Covel

28. Technical Analysis of The Financial Market by John Murphy

29. Reality Transfusion by Vadim Zeland

30. Get Everything You Can Out of All You Have by Jay Abraham

31. KickA$$ Copywriting by John Carlton

32. Shortcut Copywriting Course by Scott Haines

34. Sell Like Crazy by Sabri Suby

35.

36.

Baadhi ya Vitabu sikuweza kuvimaliza so I'm not including them
 
Baadhi ya vitabu nilivyosoma mwaka 2020

1. Breakthrough Advertising by Eugene Schwartz

2. The Boron Letter by Gary Halbert

3. Never Split the Difference by Chris Voss

4. Traffic Secrets by Russell Brunson

5. Small Business Big Money by Akin Alabi

6. Sell Your Brain by Ronald Nzimora

7. From Mediocrity to Millionaire by Jay Abraham

8. The Ultimate Guide to Sale letters by Dan Kennedy

9. Tested Advertising Methods by John Caples

10. The Art of Deal by Donald J Trump

11. The Robert Collier Letter Book by Robert Collier

12. The 7 Steps to Freedom by Ben Suarez

13. The Fastlane Millionaire by MJ DeMarco

14. Great Leads by Michael Masterson

15. The 7 Figures Copy by Sean Vosler

16. The Halbertizing Method II by Bond Halbert

17. Convert by Frank Kern

18. The Underdog Advantage by Dean Graziosi

19. High Status by Jason Capital

20. XBOOK by Jay Abraham

21. 12 Months Millionaire by James Vincent

22. The NB Guide of Marketing to Affluents by Dan Kennedy

23. Trump University Branding 101 by Donald Sexton & Donald Trump

24. The Candlesticks Trading Bible by

25. No B.S Guide to Powerful Presentations by Dan Kennedy

26. Official Get Rich Guide to Info Marketing by Dan Kennedy

27. Trend Following by Michael Covel

28. Technical Analysis of The Financial Market by John Murphy

29. Reality Transfusion by Vadim Zeland

30. Get Everything You Can Out of All You Have by Jay Abraham

31. KickA$$ Copywriting by John Carlton

32. Shortcut Copywriting Course by Scott Haines

34. Sell Like Crazy by Sabri Suby

35.

36.

Baadhi ya Vitabu sikuweza kuvimaliza so I'm not including them
Hongera san mkuu. Bila shaka utakuwa umeiva kwenye marketing.
 
Nimesoma vingi vinazidi 15,vingi vya Chess na Dan brown ila my favorite kwa mwaka huu ni "The four agreement" by Don Ruiz
 
Baadhi ya vitabu nilivyosoma mwaka 2020

1. Breakthrough Advertising by Eugene Schwartz

2. The Boron Letter by Gary Halbert

3. Never Split the Difference by Chris Voss

4. Traffic Secrets by Russell Brunson

5. Small Business Big Money by Akin Alabi

6. Sell Your Brain by Ronald Nzimora

7. From Mediocrity to Millionaire by Jay Abraham

8. The Ultimate Guide to Sale letters by Dan Kennedy

9. Tested Advertising Methods by John Caples

10. The Art of Deal by Donald J Trump

11. The Robert Collier Letter Book by Robert Collier

12. The 7 Steps to Freedom by Ben Suarez

13. The Fastlane Millionaire by MJ DeMarco

14. Great Leads by Michael Masterson

15. The 7 Figures Copy by Sean Vosler

16. The Halbertizing Method II by Bond Halbert

17. Convert by Frank Kern

18. The Underdog Advantage by Dean Graziosi

19. High Status by Jason Capital

20. XBOOK by Jay Abraham

21. 12 Months Millionaire by James Vincent

22. The NB Guide of Marketing to Affluents by Dan Kennedy

23. Trump University Branding 101 by Donald Sexton & Donald Trump

24. The Candlesticks Trading Bible by

25. No B.S Guide to Powerful Presentations by Dan Kennedy

26. Official Get Rich Guide to Info Marketing by Dan Kennedy

27. Trend Following by Michael Covel

28. Technical Analysis of The Financial Market by John Murphy

29. Reality Transfusion by Vadim Zeland

30. Get Everything You Can Out of All You Have by Jay Abraham

31. KickA$$ Copywriting by John Carlton

32. Shortcut Copywriting Course by Scott Haines

34. Sell Like Crazy by Sabri Suby

35.

36.


Baadhi ya Vitabu sikuweza kuvimaliza so I'm not including them
naomba weka no 17,18 na 28 km una softy copy, sorry kwa usumbuf
 
Baadhi ya vitabu nilivyosoma mwaka 2020

1. Breakthrough Advertising by Eugene Schwartz

2. The Boron Letter by Gary Halbert

3. Never Split the Difference by Chris Voss

4. Traffic Secrets by Russell Brunson

5. Small Business Big Money by Akin Alabi

6. Sell Your Brain by Ronald Nzimora

7. From Mediocrity to Millionaire by Jay Abraham

8. The Ultimate Guide to Sale letters by Dan Kennedy

9. Tested Advertising Methods by John Caples

10. The Art of Deal by Donald J Trump

11. The Robert Collier Letter Book by Robert Collier

12. The 7 Steps to Freedom by Ben Suarez

13. The Fastlane Millionaire by MJ DeMarco

14. Great Leads by Michael Masterson

15. The 7 Figures Copy by Sean Vosler

16. The Halbertizing Method II by Bond Halbert

17. Convert by Frank Kern

18. The Underdog Advantage by Dean Graziosi

19. High Status by Jason Capital

20. XBOOK by Jay Abraham

21. 12 Months Millionaire by James Vincent

22. The NB Guide of Marketing to Affluents by Dan Kennedy

23. Trump University Branding 101 by Donald Sexton & Donald Trump

24. The Candlesticks Trading Bible by

25. No B.S Guide to Powerful Presentations by Dan Kennedy

26. Official Get Rich Guide to Info Marketing by Dan Kennedy

27. Trend Following by Michael Covel

28. Technical Analysis of The Financial Market by John Murphy

29. Reality Transfusion by Vadim Zeland

30. Get Everything You Can Out of All You Have by Jay Abraham

31. KickA$$ Copywriting by John Carlton

32. Shortcut Copywriting Course by Scott Haines

34. Sell Like Crazy by Sabri Suby

35.

36.

Baadhi ya Vitabu sikuweza kuvimaliza so I'm not including them
Naona list imetawaliwa na Copywriting. Hongera
 
Biblia, nilianza kusoma mzunguko wa tatu kuanzia Julai 2020, sijamaliza, pengine Mungu akipenda nitamaliza kusoma Bibilia kwa mara ya tatu Mei 2021.
 
6. Hichhiker guides to the galaxy. Bado nasoma hii series ya vichekesho. PAULA unamkumbuka Bowerick wowbagger the infinitely prolonged?



9. Naandika Novel ipo kama 90%. Naona kama iko poa sana.

The Wowbagger!!
Yeah the one who became immortal and decided to insult everyone in the entire universe in alphabetical order.

"I've done you before, haven't I?"

Unaandika Novel? I can't wait to read it Red Giant.
 
The Wowbagger!!
Yeah the one who became immortal and decided to insult everyone in the entire universe in alphabetical order.

"I've done you before, haven't I?"

Unaandika Novel? I can't wait to read it Red Giant.
Douglas sijui alikuwa anawaza nini?.

Nikamaliza ntahahikisha unapata kopi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom