Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Mazengo tukiita "gima" da umenikumbusha mbali sana.
Mkuu we tulikuwa wote, kipindi sahdaat ndio kiranja wa msosi afu Mwigulu Hp dah yale maisha noma sana.
Midume 1000 mnapanga line kwa kuungana yani mmoja akiyumba tu mstari wote mnayumba kufata ugali bwaloni!
Bila kusahau "Meal cards" bila hiyo huli hata iweje kweli tumetoka mbali