CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,942
- 9,464
Nakumbula Moringe Sokoine enzi hizo dah, kila wikendi ni wali au beche, na kuna shule ya endalofta karatu nakunbuka tulikuwa tunatembea na vijiko mifukoni kama kalamu,
nguna kwenye. Mustin na wale wadudu wa kwenye mbaazi na maharage tukiita njuka, utando wa mafuta ya mboga yakiitwa ufusi
Mara secondary kulikuwa na watoto tunawaita busima dar umenikumbusha mbali sana na badae mazengo dodoma kulikuwa na raha yake sana.
Kuna rafiki yangu Mbelgiji aliwahi kuniambia kitu nikacheka nusura nife kwa kupaliwa mate 'ukisoma shule ya bweni Tanzania basi una uwezo wa kukaa jela yeyote ulaya' na kisa cha kusema hivyo ni yale aliyoyaona tulipoenda kumtembelea mdogo wangu Forest Hill Sec
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=111702&d=1379071973[/IMG enzi za kinyala sec mby tukuyu wali mara 1 kwa mwez,na baba Mwasiposya,mwl wa msosi syunjila![/QUOTE]
Mkuu dah umesoma kinyala! We jembe