Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
- Thread starter
- #101
Mbio ndio silaha ya mwiho kaka.Ugomvi Noma, Ngumi Moja tu ya ziada itakuumbua
Chakua hatua, Toka nduki.
Nalog off
Mbio ndio silaha ya mwiho kaka.Ugomvi Noma, Ngumi Moja tu ya ziada itakuumbua
Chakua hatua, Toka nduki.
Hawa wanaojifanya akina makame nyamiguvu inabidi WAPIGWE TU.dah!!!nakumbuka mara ya mwisho kupigana ilikuwa miaka 8 ilio pita nikwa high skul,kuna ----- tena dogo kidato cha pili sema kajaliwa jimwili kweli ni kiranja,saa asubui si kuna zile joging za lazima skul basi form five tuka goma tena wengi kwa vile mi ndo nilikuwa mwili mdogo afu uwanjani mademu kibao jamaa akaona wa kunioshea ndo mimi hahaha kumbe alikuwa hajui hapa ma shotokan yamelala.anakuja tu nilimpiga washgel...akaenda chali kurudi anakutana kibadanch,pigo latatu yakuzdach kijana chali nikamtia haibu pale pale
Mikono inapigaje, na hizo silaha za aina gani?
(Usikute silaha zenyewe matango ya plastik)
Kunani tena?yaaani wewe
Mbio ndio silaha ya mwisho kaka.
Nalog off
Yakikushinda tambaa kama unayeweza komaa.aaaaahh kweli kaka.
Unaweza ukang'olewa Meno.
Usipigane utashindwa kuja saluni weekend hii tutakosa hela bure!Kupigana
Usipigane utashindwa kuja saluni weekend hii tutakosa hela bure!
Nalog off
sasa huwa una-react vipi ukiudhika?Naogopaje kupigwaaa..sinaga nguvu ya kupigana ndo maana sipiganagi
sasa huwa una-react vipi ukiudhika?
Mikono inapigaje, na hizo silaha za aina gani?
(Usikute silaha zenyewe matango ya plastik)
Yale makofi ya mpenzi!!!!!?
Tutapigana sana!
tena mbioza maana....hahahaha,akitokea jasiri akaamua kutest zali inakubidi ukimbie tu.
Nalog off
Mimi nadhani trip ya Mwanza lazima nitapigana. Cc Filipo