neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,843
- 2,117
nimemiss sana enzi ya shule ya msingi, ilikuwa darasani lazima ajulikane nani mbabe.. yaani nani anaeza kupiga kila mtu. Kwa hiyo kila break time lazima watu wapigane ili kila ajue anaweza kumpiga nani class. L.o.l. Sekondari nayo ilikuwa mzuka sana no ngumi ... full kusutana na kuchapwa viboko.