Hapo kwenye RED,nimecheka sana....ahahahahahahahahahahahahahaKwa Hiyo akileta Ukauzu na unaweka Ukauzu ( Joking). Nadhani kuna haja kubwa ya kuwaelewa hawa Viumbe kuna siku Amenuna Siku mbili Badye nikamuuliza Kwa Upole ni nini hasa kilichokufanya uninue for two Days, jibu alilolitoa lilinishangaza sana " Aliniacha nimelala akarudi jioni akakuta Sijatandika Kitanda" Dah nilichoka
Hapo kwenye RED,nimecheka sana....ahahahahahahahahahahahahaha
Mimi juzi juzi tu ameninunia siku mbili kuja kumuuliza kwanini ameninunia.... ananiambia alikuwa anataka kubembelezwa tu......hata kama amenuna bila sababu.
Inaonekana mke wako ni mpole kiasi cha kutokwambia yanayomuudhi, inaonyesha kuna mambo huwa unamuudhi ambayo wewe mwenyewe unaelewa na kwa usioyaelewa unaendelea kula adhabu,
ushauri; Mzoeshe kuwa muwazi.
Kwa Hiyo akileta Ukauzu na unaweka Ukauzu ( Joking). Nadhani kuna haja kubwa ya kuwaelewa hawa Viumbe kuna siku Amenuna Siku mbili Badye nikamuuliza Kwa Upole ni nini hasa kilichokufanya uninue for two Days, jibu alilolitoa lilinishangaza sana " Aliniacha nimelala akarudi jioni akakuta Sijatandika Kitanda" Dah nilichoka
Hii sasa ni kubwa kuliko duh......Mm wife akinuna huwa nasikilizaga country music kwa sauti ya juu "don william "kwa sana mpaka sasa hathubuti kununa sababu nyumba inageuka ukumbi gafla !
Mm wife akinuna huwa nasikilizaga country music kwa sauti ya juu "don william "kwa sana mpaka sasa hathubuti kununa sababu nyumba inageuka ukumbi gafla !
Kwa Hiyo akileta Ukauzu na unaweka Ukauzu ( Joking). Nadhani kuna haja kubwa ya kuwaelewa hawa Viumbe kuna siku Amenuna Siku mbili Badye nikamuuliza Kwa Upole ni nini hasa kilichokufanya uninue for two Days, jibu alilolitoa lilinishangaza sana " Aliniacha nimelala akarudi jioni akakuta Sijatandika Kitanda" Dah nilichoka
Hapo kwenye RED,nimecheka sana....ahahahahahahahahahahahahaha
Mimi juzi juzi tu ameninunia siku mbili kuja kumuuliza kwanini ameninunia.... ananiambia alikuwa anataka kubembelezwa tu......hata kama amenuna bila sababu.
umenichekesha sana!Mi mke wangu akiamka amekasirika na ukimuuliza kwa nini amenuna, anakujibu NIMEKULA BLUUU
MÃ* mwenyewe huwa na katabia hako kakununa ninapokuwa karibu na mambo yetu kumbe wengi!Nina dadaangu huyo ndo zake,siku ukienda kwake ukimkuta kanuna hata maji usiombe,anaweza kukurushia yakiwa kwenye glass! Ni mara chache sana huwa hivyo lakini hiyo siku huwa ngumu kwa hausgel maana nae ananuniwa! Wanae ndio watakula kichapo bila sababu,ni Afande,huko kazini cjui inakuaje.Nahisi ni kaugonjwa!