ha hah ahah ahhaha .... wahuni sio watu
ha hah ahah ahhaha .... wahuni sio watu
Daaah hicho kiuno kwa avatar yako
Ulipaswa u-upandishe uzi ili viranja wasi uunganishe, ama kama umeukopi humu ndani, basi ungempe credit zake alie uandika kabla yako.Kwahiyo tufanyaje sasa?
Nyoka wapo watagao (oviparous) ambao ndiyo wengi na aina chache ya wazaao ( viviparous). Wameumbwa wamekamilika hivyo, anatomy haipo ya nyoka kutaga, kisha kumeza mayai halafu kuzaa watoto baadaye!!!!?Anawameza watoto ili awazae baadaye??!! Anawameza wanakwenda tumboni, wanaingiaje kwenye njia ya uzazi ili wazaliwe? Biology yako ina walakini!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule Anaconda aliwakimbiza sana wale raiaKwani ushawahi kuona nyoka akimkimbiza mtu ?
Kwani amekuwa simba au chui huyo ?
Ungeweka link yahiyo story nasi tujifunze mkuuSawa twashukuru lkn yule anaeitwa kiboko au black mamba aisee ni nyoko yule kwasababu kabla hajaanza timbwili anakuonya kwanza
Story hii niliikuta humu Na ilinisaidia baada ya kukutana nae yule nyoka hafai nilimpiga akajifanya kafa nilimsogelea na kijiti lkn nkaona ngoja nimshtue na jiwe kwanza aisee alinyanyuka na kuligonga jiwe Mara tano
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwa nanga na doja wa platoonHuyu nyoka mpole sana wanapatikana sana maeneo ya baridi , siku moja nikiwa mafinga jkt nilitoroka mkesha nikaenda kulala porini nilikuwa na blanket nikiwa nmelala kumbe likaja likifutu na kuingia kwenye blanket asubuhi nashtuka linanitekenya...
Wala halikunidhuru
Kigwa ipi mkuu maana A na BNiliwahi kukutana na vifutu wakijaribu kupandana kule Kigwa, Tabora. Nafikiri Kigwa ndiyo makao makuu ya nyoka hapa Bongo, yaani kuna nyoka wa hajabu sijawahi kuona hapa Bongo. Kifutu si rahisi kuuma mtu, na ile siku nilikutana nao pale Kigwa nilijaribu kuwapisha ila wenzangu sasa walikuja kuwaua bila hata sababu. Nilisikitika sana.
Hapana, Black Mamba huwezi kumuona kwenye Maonesho ya Saba Saba...Very interesting story,I wish wangemleta pale kwenye maonyesho ya sabasaba ningemwona manaake paliwekwa nyoka wa aina nyingi hata black mamba alikuwepo lakini kifutu hakuwepo. pia inasemekana kifutu wanapatikana kwa wingi kwenye mashamba ya miwa .
Hakika. Huyu ndiye nyoka mwenye uwezo wa kuingiza kiasi kikubwa Cha sumu mwilini mwa adui yakeKati ya majoka ya kuogopwa yenye sumu kali hili ni mojawapo
Sana, hasa matagaNyoka Wanapenda stori za binadamu si ndiyo...?