Black mamba ana sumu kuliko nyoka wote,,mkorofi kuliko wote,Ana speed sana,mrefu pia,Ana uwezo wa kutoa sumu yake kwa watu takribani 10 kwa wakati mmoja hii ni sifa nyingine pia kuliko wengine wote,sababu nyoka anapotoa sumu huwa anatumia nguvu nyingi sana mpaka kurecharge tena,ila yeye kwa speed yake ile ile kwa wakati ule ule..huyu ukikutana nae ni ama zako au zake,ni mkorofi balaa,niulize sasa wanavijiji wanavyomuuwaga wakijua yuko sehemu?
Mozambique cobra siwafahamu sana ila nafahamu cobra kama cobra,hawa sumu zao sio kivile sana,hata speed,spitting pia sio kivilee,ila ni INTELLIGENT hata kwenye kupambana kwao ni strategic sana,alafu ni species wanaoishi sehemu tofauti sana,cobra wengi deadly wanapatikana India while black mamba wanapatikana Africa
Angalia humu pia kuongezea kwa wataalamu