Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Aisee hakuna tatizo mkuu me naogopa sana hiko kiumbe cha jamii hiyo kwahiyo apo ni kwako mkeo je haogopini mimi mkuu, kuna tatizo?
Aisee hakuna tatizo mkuu me naogopa sana hiko kiumbe cha jamii hiyo kwahiyo apo ni kwako mkeo je haogopini mimi mkuu, kuna tatizo?
Mkuu; ulishajaribu kufanya test na ku-verify kwamba ukimkanyaga maeneo ya kati hanaga shida na halafu ukabadili na kumkanyaga mkiani na ukajiridhisha pasipo shaka kwamba eneo hatari ni mkiani tu?But mimi huyu nyoka namjua vizuri sana na pia nishakumbana nae sana tu,yaani huwa simuogopi kiviile.
Ninavyojua huyu nyoka ukimkanyaga mkiani ndo anakupa mambo,ila ukimkanyaga maeneo mengine ya kati kama mgongoni wala hanaga shida,tatizo lipo mkiani zaidi!
Niambie akikujibuMkuu; ulishajaribu kufanya test na ku-verify kwamba ukimkanyaga maeneo ya kati hanaga shida na halafu ukabadili na kumkanyaga mkiani na ukajiridhisha pasipo shaka kwamba eneo hatari ni mkiani tu?
Wapo wengi sana hao zamani zile sijui wameishia wapiHao nyoka wapo sana huku Lindi, sio wakali ila akikuuma kupona ni ishu halafu wanatabia ya kujificha kwenye nyasi na udongo
Nina story ya huyu kiumbe,alileta shida mwaka 2012 kule chunya. Nadhan chunya watamkumbuka daima.Na anauwezo wa kujiinua/kusimama sasa ukijichanganya unaondolewa duniani kwa lazima!!
Hatari haya madude nayaelewa sanaAcheni utani jaman kuna huyu mdudu anaitwa blackmamba, jina lake la kiswahili nimelisahau!!
Huyu ndiye the deadliest snake!! Japo ukikutana nae kabla hajakupeleka kwa kuzimu kwanza anakupa warning kwamba ondoka kwenye anga zake, ukijidai unajua kuua nyoka imekula kwako!!!
Ana speed sana, na akianza kukukimbiza usizani utapiga hatua 5 kabla hajaku sambaratisha!!
Yaani hatari yake ni kubwa kuliko ya ccm!!
Omba usikutane nae maana hutavusha dakika 15 kabla hujafa!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kwahiyo ulichamba mkuukweli huyu nyoka mpaka umkanyage, niliwahi kuchunga ng'ombe utotoni nikabanwa na haja kubwa porini, nilipomaliza kukata gogo natafuta jani nichambe, kumbe pale karibu kabisa na niliposhusha gogo alikuwa katulia ananichora tu, ilibidi niondoke taratibu, nikaenda chambia sehemu nyingine, kumsimulia babu akasema huyo sio swila, huyo mpaka umkanyage, ndio akung'ate, na vile vile inasadikika katika kabila langu ukiwakuta kwenye shamba lako la mihogo basi mihogo itanenepa kama lenyewe na inakuwa hivyo, hizo ni imani tu za wahenga



Naisubiria mkuuNina story ya huyu kiumbe,alileta shida mwaka 2012 kule chunya. Nadhan chunya watamkumbuka daima.
Nikipata muda nitaiandika hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaitwa koboko huyo, story zake ni za kutisha tu siku zoteAcheni utani jaman kuna huyu mdudu anaitwa blackmamba, jina lake la kiswahili nimelisahau!!
Huyu ndiye the deadliest snake!! Japo ukikutana nae kabla hajakupeleka kwa kuzimu kwanza anakupa warning kwamba ondoka kwenye anga zake, ukijidai unajua kuua nyoka imekula kwako!!!
Ana speed sana, na akianza kukukimbiza usizani utapiga hatua 5 kabla hajaku sambaratisha!!
Yaani hatari yake ni kubwa kuliko ya ccm!!
Omba usikutane nae maana hutavusha dakika 15 kabla hujafa!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahah hatari kweli! napenda stori za viumbe wababe kama hao, usisahau kuileta mkuuWeekend ntaiandika mkuu. Varangati la kiumbe huyu kijiji kizima walistaajabu
mkuu kazini hapo enzi hizo nilikuwa mwl wa biologyAisee hakuna tatizo mkuu me naogopa sana hiko kiumbe cha jamii hiyo kwahiyo apo ni kwako mkeo je haogopi
Huko Lindi huwa mnawaitaje?Hao nyoka wapo sana huku Lindi, sio wakali ila akikuuma kupona ni ishu halafu wanatabia ya kujificha kwenye nyasi na udongo
mkuu utakuwa humjui "the inland taipan"bulaki mamba akikung'ata huenda ukapona ila huyu Taipan ni habari nyingineAcheni utani jaman kuna huyu mdudu anaitwa blackmamba, jina lake la kiswahili nimelisahau!!
Huyu ndiye the deadliest snake!! Japo ukikutana nae kabla hajakupeleka kwa kuzimu kwanza anakupa warning kwamba ondoka kwenye anga zake, ukijidai unajua kuua nyoka imekula kwako!!!
Ana speed sana, na akianza kukukimbiza usizani utapiga hatua 5 kabla hajaku sambaratisha!!
Yaani hatari yake ni kubwa kuliko ya ccm!!
Omba usikutane nae maana hutavusha dakika 15 kabla hujafa!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kuna wakati tumemshuhudia huyu kiumbe akipanda kwenye mti wa chungwa.anajinyanyua tu wala hakwei kwenye shina,anajinyanyua na kuzama kwenye matawi huko juu.Na anauwezo wa kujiinua/kusimama sasa ukijichanganya unaondolewa duniani kwa lazima!!