Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,371
- 4,564
Cobra wapo kibao aina ya Forest Cobra maeneo ya kanda ya ziwa misituni na Mozambique Spitted Cobra kila mahali hadi jijini Dar wanaonekana wakivamia majumbani kwa watu kipindi cha baridiBongo tuna Cobra?? Eneo gani?. Ungenambia koboko sawa.


