Pambano la Paka na Nyoka: Kichapo cha haja

Pambano la Paka na Nyoka: Kichapo cha haja

BICHWA KOMWE -

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
8,502
Reaction score
21,557
Huyu ndio paka bwana, a.k.a nyau, a.k.a zee la makonzi. Utanyukwa makofi haswa mpaka unasalimu amri.

Paka ni kati ya wanyama timamu haswa kimwili, wananyumbulika kwa wepesi kama radi. Miili yao ina silaha madhubuti ambazo ni makucha makali na meno mchongoko.

Paka wakitaka kuua lazima wamtese kwanza adui yao kwa kichapo na nakozi za makucha mpaka anatepeta nyang'anyang'a. Wana maringo sana.

Hebu cheki hapa pambano la paka na nyoka.... nyoka amebamizwa haswa. Makonzi ya kimkakati. Kichapo haswa.

Video inakuja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom